Mtanzania Mrisho Halfani Ngassa ndiye mchezaji aliyefunga hat trick nyingi kwenye mashindano ya CAF

Nimeona pia utopolo inashika rekodi ya timu iliopigwa goli nyingi kwenye msimu mmoja wa mashindano.
Hongereni depotivo de utopolo fc.
 
kuna wapuuzi wamemlinganisha na Konde boy
Wewe ni utopolo haswaa..Kipi cha ajabu alichofanya huyo mwanautopolo Ngasa ambacho unaona konde boy haitawezekana kufanya?
 
Hapa anazungumziwa Ngasa jifunze kwenda na mada iliyo mezani.
Nimeona pia utopolo inashika rekodi ya timu iliopigwa goli nyingi kwenye msimu mmoja wa mashindano.
Hongereni depotivo de utopolo fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…