Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 244
Warudi nyumbani tupambane na tozoSouth Africa sio nchi ya Kuishi mtanzania tena maana sio salama kabisa Usiende South Africa ni Hatari watu wanatumia sana Visu.
Mtanzania huyu Anaitwa jumanne Ameuwawa Kwa Kuchomwa kisu nchini South Africa katika mji wa Slovo Cape Town chanzo mpaka sasa hakijulikani taarifa hii imetolewa na mmoja wa wana group Lao huko Facebook liitwalo mabaharia the sailors.
View attachment 2635019View attachment 2635020
Wao walikuja enzi hizo tumeishi nao vizuri, mazimbu Moro, dakawa wamesahau wema wetu.Maisha ya South Africa ni Hatari sana kwa mtanzania View attachment 2635029
Tuje kuuza Malonya KariakooWarudi nyumbani tupambane na tozo