#COVID19 Mtanzania mwingine (dereva wa lori ) akutwa na Corona nchini Uganda

#COVID19 Mtanzania mwingine (dereva wa lori ) akutwa na Corona nchini Uganda

mulwanaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
5,262
Reaction score
12,855
Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa idadi ya wagonjwa wa corona nchini humo imefikia 101 kutoka wagonjwa 100.

Idadi hiyo imepanda baada ya Mtanzania mmoja ambaye ni Dereva wa Lori kutoka nchini Tanzania mwenye umri wa miaka 32 kubainika kuwa na Corona baada ya kupimwa.

Wizara hiyo imesema Dereva huyo aliingia Uganda kupitia mpaka wa Mtukula, Na pia imetoa taarifa ya wagonjwa waliopona corona nchini humo kuwa ni 55 na hakuna kifo kitokanacho na ugonjwa huo mpaka sasa.

--
Another Tanzanian truck driver has tested positive for coronavirus disease (COVID-19) in Uganda to increase the country's cases to 101. The 32-year-old who entered Uganda via the Mutukula border was the only positive case registered out of the 3,809 samples tested on Thursday. All the 718 community samples tested negative according to the ministry of Health.
 
Ndio maana IMF wametoa fedha na WHO ipo bega kwa bega na Uganda sababu ya ukweli wao.

Inawezekana watz wengi wapo na hii infectio sema wanajiuguza kimya kimya na wengi hawajijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana IMF wametoa fedha na WHO ipo bega kwa bega na Uganda sababu ya ukweli wao.

Inawezekana watz wengi wapo na hii infectio sema wanajiuguza kimya kimya na wengi hawajijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMF imewapa Uganda hela za bure au mkopo?

Magufuli aliwaambia IMF izisamehe hizo nchi madeni zinayodaiwa badala ya kuzikopesha tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa idadi ya wagonjwa wa corona nchini humo imefikia 101 kutoka wagonjwa 100.

Idadi hiyo imepanda baada ya Mtanzania mmoja ambaye ni Dereva wa Lori kutoka nchini Tanzania mwenye umri wa miaka 32 kubainika kuwa na Corona baada ya kupimwa.

Wizara hiyo imesema Dereva huyo aliingia Uganda kupitia mpaka wa Mtukula, Na pia imetoa taarifa ya wagonjwa waliopona corona nchini humo kuwa ni 55 na hakuna kifo kitokanacho na ugonjwa huo mpaka sasa.

--
Another Tanzanian truck driver has tested positive for coronavirus disease (COVID-19) in Uganda to increase the country's cases to 101. The 32-year-old who entered Uganda via the Mutukula border was the only positive case registered out of the 3,809 samples tested on Thursday. All the 718 community samples tested negative according to the ministry of Health.
Mabeberu hawana nia njema na sisi hadi vipimo vya uganda vinabaini waTZ kuwa na covid19.
 
Basi wabainishe tu tz yote tuna koro tujue moja
 
Back
Top Bottom