Mtanzania ukitaka kununua hisa kwenye masoko ya hisa ya nje ya nchi taratibu zikoje?

Mtanzania ukitaka kununua hisa kwenye masoko ya hisa ya nje ya nchi taratibu zikoje?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mtanzania uliye Tanzania ukitaka kununua hisa za makampuni kwenye masoko ya hisa mfano Ulaya au Marekani, taratibu zake zikoje?
 
Unanunua kwenye secondary market.

Yaani huwezi kununua IPOed shares, ila unaweza kuuziwa na walionunua kwenye IPO market ( Raia )
 
Tumia broker Hawa wa USA ambao wanakufikisha kwenye real market na sio kuwa unabet price fluctuations tu Bali unamiliki hisa zikishuka unaona value imeshuka Ila namba za hisa ni zile zile.
T broker hao walk watatu tu ambao ni

Td Ameritrade
Charles Schwab
E-Trade
Fidelity Investments.
Hawa wako regulated na mamlaka za USA na sio kuwa wao ni OTC Bali wanapasi orders zako to real market mkuu kabisa.
Na wewe ndiye unaye create demand and supply tunaye speculate kwenye huku CFd brokers.
 
Sema Sasa Ile initial investment yake utaipenda. Mana hawana leverage kubwa sana,mana huko USA walizikataa hizi Cfd company coz of large leverage ambayo Ina lead to large losses pia Cfd kampani ni OTC kwa Mana they don't pass your order to real market.
What you're doing when trading is contracting for future price difference of financial instruments.
 
Back
Top Bottom