Mtanzania unaijua pensheni ya Rais anapostaafu?

Mtanzania unaijua pensheni ya Rais anapostaafu?

Willima

Member
Joined
Jul 27, 2022
Posts
26
Reaction score
39
Kama ilivyo kwa nchi jirani ambazo zina utaratibu wa kujulisha wananchi wao utaratibu wa utoaji wa mafao ya pension kwa Marais wao wastaafu, jambo ambalo ni tofauti kwa nchi ya Tanzania.

Kwa Tanzani pension ya Rais imekuwa ni siri ya Serikali. Kwa mfano nchi ya Kenya imewajulisha wananchi wake pensheni ya Rais Uhuru Kenyatta.
Swali linabaki, je wananchi wa Tanzania wanaweza kufahamu kuhusu pensheni ya Rais wao?

IMG_20220802_125548.jpg
 
Sio raisi tu, tunahaki ya kujua kuanzia yeye hadi watu wake wote.

Au mshahara na mafao ni siri kati ya bosi na mfanyakazi wake? Sema nini, sisi ndio mabosi wa hawa jamaa wakati wa kuomba kura..ila wakiwa madarakani sisi ni watumwa aao
 
Sio raisi tu, tunahaki ya kujua kuanzia yeye hadi watu wake wote.

Au mshahara na mafao ni siri kati ya bosi na mfanyakazi wake? Sema nini, sisi ndio mabosi wa hawa jamaa wakati wa kuomba kura..ila wakiwa madarakani sisi ni watumwa aao
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Umekurupuka hujaja kisomi Zaid unekuja as if kwamb kila mtu anajuwa rate za exchange rate ya ksh vs dollars Sasa tulia andika vzr alfu uje ujumuishe kuwa total kwa mwak rais Kenyatta atabeba Kia's gani

Alf ikumbukwe kuwa hyu ndie rais tajiri sna baran Africa kwa sas
 
Sio raisi tu, tunahaki ya kujua kuanzia yeye hadi watu wake wote.

Au mshahara na mafao ni siri kati ya bosi na mfanyakazi wake? Sema nini, sisi ndio mabosi wa hawa jamaa wakati wa kuomba kura..ila wakiwa madarakani sisi ni watumwa aao
Exactly inashangaza sana
 
Kama ilivyo kwa nchi jirani ambazo zina utaratibu wa kujulisha wananchi wao utaratibu wa utoaji wa mafao ya pension kwa Marais wao wastaafu, jambo ambalo ni tofauti kwa nchi ya Tanzania.

Kwa Tanzani pension ya Rais imekuwa ni siri ya Serikali. Kwa mfano nchi ya Kenya imewajulisha wananchi wake pensheni ya Rais Uhuru Kenyatta.
Swali linabaki, je wananchi wa Tanzania wanaweza kufahamu kuhusu pensheni ya Rais wao?

View attachment 2311868
MAGUFULI Alituambia Eti Mshahara wake ni Milioni 9 mpaka leo nacheka
 
Sio raisi tu, tunahaki ya kujua kuanzia yeye hadi watu wake wote.

Au mshahara na mafao ni siri kati ya bosi na mfanyakazi wake? Sema nini, sisi ndio mabosi wa hawa jamaa wakati wa kuomba kura..ila wakiwa madarakani sisi ni watumwa aao
Hatujawahi kuwa maboss wao,wasingekuwa wanatupelekesha wanavyotaka na kututolea kauli chafu za dharau, sisi kwao ni watumwa wao
 
Umekurupuka hujaja kisomi Zaid unekuja as if kwamb kila mtu anajuwa rate za exchange rate ya ksh vs dollars Sasa tulia andika vzr alfu uje ujumuishe kuwa total kwa mwak rais Kenyatta atabeba Kia's gani

Alf ikumbukwe kuwa hyu ndie rais tajiri sna baran Africa kwa sas
The issue is Kama watanzania tunafahamu pension ya rahisi sio kiwango cha pension, je serikali imeweka wazi pension ya maraisi wa Tanzania?
 
Kama ilivyo kwa nchi jirani ambazo zina utaratibu wa kujulisha wananchi wao utaratibu wa utoaji wa mafao ya pension kwa Marais wao wastaafu, jambo ambalo ni tofauti kwa nchi ya Tanzania.

Kwa Tanzani pension ya Rais imekuwa ni siri ya Serikali. Kwa mfano nchi ya Kenya imewajulisha wananchi wake pensheni ya Rais Uhuru Kenyatta.
Swali linabaki, je wananchi wa Tanzania wanaweza kufahamu kuhusu pensheni ya Rais wao?

View attachment 2311868
Weka za majirani zake wote
 
na bado unakuta mwamba anaiba,kwakweli binaadam ni kiumbe wa ajabu.

hapa haiko wazi ila ni 80% mshahara wa aliyepo.
na huduma nyingine zote hapo kwenye chart ya uhuru nazo zinapatikana.
 
Utajiri wake ni wa kifamilia bwashee
Umekurupuka hujaja kisomi Zaid unekuja as if kwamb kila mtu anajuwa rate za exchange rate ya ksh vs dollars Sasa tulia andika vzr alfu uje ujumuishe kuwa total kwa mwak rais Kenyatta atabeba Kia's gani

Alf ikumbukwe kuwa hyu ndie rais tajiri sna baran Africa kwa sas
 
The issue is Kama watanzania tunafahamu pension ya rahisi sio kiwango cha pension, je serikali imeweka wazi pension ya maraisi wa Tanzania?
Sema tu sisi Watanzania ni wavivu wa kusoma. Sheria ipo ingawa nayo imefumbafumba kwa kusema asilimia kadhaa ya mshahara wa Rais aliyeko madarakani. Haijaweka kiwango kama ilivyowekwa kwa Kenya. Kila kitu kwa idadi kimesemwa bila kuweka kiwango cha pesa! Sheria yenyewe inaitwa "The Political Service Retirement Benefits Act" [Cap. 225 R.E. 2015]
 
Kenyatta wamuongezee ulinzi akistaafu maana Wasomali wana hasira naye sana.
 
Kwakweli kwa Tanzania ni changamoto kubwa kujua Kodi zetu zinatumikaje!
Ndiyo maana viongozi hao hawana woga wowote kuoanga chochote hata kama wananchi hawataki au hawajui vema wao husukumizia mizigo hiyo kwa wananchi.

Mfano : Leo kuna waziri wa habari kasema kupanda kwa gharama za simu ni lazima !![emoji848][emoji24]
 
Kama ilivyo kwa nchi jirani ambazo zina utaratibu wa kujulisha wananchi wao utaratibu wa utoaji wa mafao ya pension kwa Marais wao wastaafu, jambo ambalo ni tofauti kwa nchi ya Tanzania.

Kwa Tanzani pension ya Rais imekuwa ni siri ya Serikali. Kwa mfano nchi ya Kenya imewajulisha wananchi wake pensheni ya Rais Uhuru Kenyatta.
Swali linabaki, je wananchi wa Tanzania wanaweza kufahamu kuhusu pensheni ya Rais wao?

View attachment 2311868
KUNA WATU WANAKULA MAISHA AISEE

HILO SWALI UKIULIZA HUKU BONGO UTAITWA MCHOCHEZI
 
Back
Top Bottom