Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
hahahahah!..i guess i might need to consult a dr what do you think? hahaha hata akiwa jr nitafurahi sana its abt time au siyo?LOL!....Then yournameismine atakuwa god father.
Mimi siyo cnn mpaka nije nikupe details zake hapa then itakusaidia nini?.utatoa nusu ya hiyo bond yake au?....ooh well nimeshatapika na bado unanitia kichefuchefu
Babu yangu mzaa babu ni mganga.....na mzinga wa hirizi tena unapumua, sirukiwa kifalafala 'afu nipo tekea vilevile!😀
olooo dude Now i see unaenda far by calling my cupcake names...oloo you better take it back boy!....so wewe unataka awe on your side acha kuchekesha walio nuna shauri yako..besides huna hata eveidence yeyote ila kazi kuita tuu wenzio ni wafisadi....
hahahahah!..i guess i might need to consult a dr what do you think? hahaha hata akiwa jr nitafurahi sana its abt time au siyo?LOL!....Then yournameismine atakuwa god father.
Hii ni public forum. Imeletwa habari. Umedai kuwa ni ya kizushi halafu hutaki kueleza kwa nini ni ya kizushi? Angalau mleta habari amedokeza kuwa hataki kutoa jina hadi apate kibali cha kaka wa mhusika. Huyu bado unaona kuwa ana nia mbaya na mhusika. Kwenye hili, mzushi ni wewe ambae hautaki kusubstantiate uliyoyasema!
Kwa mwendo huu, utatapika sana mwaka huu!
Amandla......
Hii ni public forum. Imeletwa habari. Umedai kuwa ni ya kizushi halafu hutaki kueleza kwa nini ni ya kizushi? Angalau mleta habari amedokeza kuwa hataki kutoa jina hadi apate kibali cha kaka wa mhusika. Huyu bado unaona kuwa ana nia mbaya na mhusika. Kwenye hili, mzushi ni wewe ambae hautaki kusubstantiate uliyoyasema!
Kwa mwendo huu, utatapika sana mwaka huu!
Amandla......
hey buddy....you better ease up on my cupcake or else i'll be forced to step in and you and me can go mano a mano.....
Hii ni public forum. Imeletwa habari. Umedai kuwa ni ya kizushi halafu hutaki kueleza kwa nini ni ya kizushi? Angalau mleta habari amedokeza kuwa hataki kutoa jina hadi apate kibali cha kaka wa mhusika. Huyu bado unaona kuwa ana nia mbaya na mhusika. Kwenye hili, mzushi ni wewe ambae hautaki kusubstantiate uliyoyasema!
Kwa mwendo huu, utatapika sana mwaka huu!
Amandla......
Evidence gani zaidi ya ukweli kwamba ananyea ndoo huyo fisadi mtoto?? Hamna mitikasi huku zaidi ya kazi tu kwa kwenda mbele tena kwa furaha....
Tell him cupcake...tell him!!!
Buraza,
Usimsikilize huyo mnyalukolo...hajui chochote zaidi ya fwact kwamba kuna siku alinunuliwa kinywaji club na huyo criminal, basi anaona ni mshkaji waaake!! Ipo siku na yeye tutamsikia hapa...dunia ya leo si ya jana! mwe!
Buraza,
Usimsikilize huyo mnyalukolo...hajui chochote zaidi ya fwact kwamba kuna siku alinunuliwa kinywaji club na huyo criminal, basi anaona ni mshkaji waaake!! Ipo siku na yeye tutamsikia hapa...dunia ya leo si ya jana! mwe!
you know i look out for my cupcake....soon nitaanza kurusha uppercuts na hooks...we ngoja tu...they are stepping over the line sasa and hommie don't play dat
wow wow wow...hold up....you mean hiyo jemba ilimnunulia drink my cupcake?
hey cupcake, we need to talk....
Mwawado hawezi kuleta uongo. After all jamaa yuko ndani kweli kwa sababu ambazo bado haziko disclosed.
Wewe hebu acha kufagiliya kivuli...ok call whatever ila mzushi ni wewe ambaye unangangania kujua habari za watu then zikusaidie nini kama vile unamsaidia kulipa bills zake...hebu get a life kwanza...mimi nitakuaje mzushi? what i do ni kutoa fact kuwa acheni kuzusha huyu aliyeto ahii habari ni kazusha na anajua kazusha ndiyo maana hataki kutoa jina na anajua siyo valid story...i dont need to substanciate shit kwako and then what?....Nimeshakuuliza utamsaidia kulipa hiyo half of his bond nikishakwambia kafanya nini?....
ooh god unaendelea kunitapisha...lord have mercy on you and yourself really talk
case closed!