#COVID19 Mtanziko mkuu wa Askofu Gwajima na Chanjo za Corona.

#COVID19 Mtanziko mkuu wa Askofu Gwajima na Chanjo za Corona.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Akizuiwa au akishughulikwa kwa nguvu kwa namna yoyote ile na mamlaka asizidi kueneza uzushi , uvumi na uongo kuhusu chanjo ya Corona itawaaminisha watu wengi zaidi kwamba kuna nia ovu nyuma ya chanjo na watu watageuka mazombi kweli wakichanjwa

Akiachwa aendelee kusambaza uzushi, uvumi na uongo wake juu ya chanjo watu wengi hawatachanjwa na ataonekana ni shujaa mpya wa kizazi hichi kuenzi legacy ya mwendazake.

Naona 'the powers that be' wakifanya naye compromise na suluhu azikatae chanjo lakini kwa lugha laini na nyepesi au 'ya heshima' kama wabongo wengi wanavyopenda kusema.Kesho itatupa majibu.
 
Na anaweza kuzuiwa vile vile na mapolice kutanda kanisani peke, ila issue hii inaonelana hata CDF hakubaliani nayo!!
Akae makini nae!!
 
Amesha shawishi wangapi? Yaani sisi hatuna akili mpaka gwajima atushawishi!
Gwaji ataumbuka yu kwa sababu chanjo haitaua kama anavyodai.
 
Mama asipomuua Gwajima atatuletea balaa jingine maana misukule yote ya hayati pombe iko matakoni mwa Gwajima


Nashauri njia ile ile iliyotumiwa kuwaondoa akina Kijazi itumike kumuondoa na huyu jingalao
 
Mama asipomuua Gwajima atatuletea balaa jingine maana misukule yote ya hayati pombe iko matakoni mwa Gwajima


Nashauri njia ile ile iliyotumiwa kuwaondoa akina Kijazi itumike kumuondoa na huyu jingalao
IMG-20210803-WA0172.jpg
 
Nguvu kubwa itakayotumika kumziba mdomo gwajima,ndio itasababisha watu kukimbia 100% kuchanjwa na wasijitokeze hata kidogo.wacha nikwambie mtego ulipo.

Kwanza ugonjwa haujapokelewa kama upo,hili ni swala moja kabla ya kuikubali chanjo kuuzuia.

Pili chanjo hazitafanya kazi kama chanjo nyingine tulizozoea,yaani kuzuia maambukizi.hii ni kwa mujibu wa maelezo ya wataalam wenyewe waliotengeneza chanjo hizi.

Tatu,chanjo hii haiaminiki hata nchi za wenyewe,angalia marekani mpaka wadungwaji wanaahidiwa $100.

Nikukumbushe tu mletamada,hili swala sio siasa zetu zile.kwamba unatuma polisi,zitaibuka fujo kubwa sana.
 
Nguvu kubwa itakayotumika kumziba mdomo gwajima,ndio itasababisha watu kukimbia 100% kuchanjwa na wasijitokeze hata kidogo.wacha nikwambie mtego ulipo.

Kwanza ugonjwa haujapokelewa kama upo,hili ni swala moja kabla ya kuikubali chanjo kuuzuia.

Pili chanjo hazitafanya kazi kama chanjo nyingine tulizozoea,yaani kuzuia maambukizi.hii ni kwa mujibu wa maelezo ya wataalam wenyewe waliotengeneza chanjo hizi.

Tatu,chanjo hii haiaminiki hata nchi za wenyewe,angalia marekani mpaka wadungwaji wanaahidiwa $100.

Nikukumbushe tu mletamada,hili swala sio siasa zetu zile.kwamba unatuma polisi,zitaibuka fujo kubwa sana.
Tutachanjwa tutake tusitake
 
Amesha shawishi wangapi? Yaani sisi hatuna akili mpaka gwajima atushawishi!
Gwaji ataumbuka yu kwa sababu chanjo haitaua kama anavyodai.
Tayari amewashawishi wale wanaoshangilia na kukenua meno kanisani kwake ambao anawaita ni familia yake.
 
Vita vya kwanza vya Dunia baada ya kwisha tu kuna kitu kilitokea
Vita vya pili vya Dunia baada ya kwisha tu kuna kitu kilitokea
Corona nayo Ni janga la Dunia nayo ikiishi tu kuna kitu kitatokea???
 
Tuondolee utopolo wako. Hata ukifanya mapenzi huwa kuna kitu kinatokea
Vita vya kwanza vya Dunia baada ya kwisha tu kuna kitu kilitokea
Vita vya pili vya Dunia baada ya kwisha tu kuna kitu kilitokea
Corona nayo Ni janga la Dunia nayo ikiishi tu kuna kitu kitatokea???
 
Tuondolee utopolo wako. Hata ukifanya mapenzi huwa kuna kitu kinatokea
Ndo maana wazazi wako walifanya mapenz akatokea shetan mwenye mwili wa mwanadamu kama wewe

wazazi wanafanya Tendo la Ndoa
 
Back
Top Bottom