comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Watanzania mkae muelewe Sisi kama wa Guinea lazima tushinde Leo, mtaongea yote lakini Sisi kama wananchi wa guinea tunaoishi Tanzania kikazi tunawapasua Leo.
Kumbukeni hii sio Guinea-Bissau au Guinea ya ikweta ya kina BALTASAR400, hii NI Guinea Conakry lazima mfe, golini Leo pale tunamuweka pinpin Camara, mbele kama kawaida streka fosi ya Dortmund guirassy, leo ni kipigo tu.
Kumbukeni hii sio Guinea-Bissau au Guinea ya ikweta ya kina BALTASAR400, hii NI Guinea Conakry lazima mfe, golini Leo pale tunamuweka pinpin Camara, mbele kama kawaida streka fosi ya Dortmund guirassy, leo ni kipigo tu.