comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Nipo kikaziHaya,ondoka nchini kwetu na mdomo huo!
Rudi kwenu haraka!!!
Hakuna kitu kama hichoMpira unadunda mzee wangu, dakika ni tisini unachezwa, lolote linaweza kutokea na hao guinea wakachezea kichapo
Utulie basNipo kikazi
Safi kabisaWachezaji wote wa Tz wapatwe na tumbo la kuharisha katikati ya game ๐ฅ
Guirassy hakuwepoMshinde msishinde lakini bado tulisha wakanda kimoja kwa hiyo mtakuwa mnalipa deni lenu.
Usijali Leo guinea tunashindaSiasa haiwezi shinda mpira ...Viva Guinea ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
๐๐๐Siasa haiwezi shinda mpira ...Viva Guinea ๐ฅ๐ฅ๐ฅ