Mtashi aimba - TANESCO USIKATE UMEME .....

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,584
Reaction score
6,136
Huyu dada naona kaamua kutusaidia wale ambao Magamba bado yametufunika na hatuoni mateso yanayoendelea.

Kama unafikiiri Watashi hiyo haiwakumbi, basi angalia dada anaimba kwenye studio inayoenda kwa nguvu ya Betri la gari.....

Umeme wanatumia mishumaa na SIKIRINI za simu kama siku Yanga wanapewa kombe pale uwanjani.

 
Last edited by a moderator:
Nchi ikiw giza, basi na nguvu za giza zinaanza.

Ona hivi vitoto vinavyofanya. Hiki kibinti sidhani kama bado hakijaanza kazi. Kama bado basi it's just a matter of miezi tu akina Liumba waanze kazi. Hapa utaona kweli sisi wanaume tunakuwa polepole sana. Hao karibu wote wanajua nini maana ya SEX.

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…