Kipindi kimeisha. My take both Mogendi and mtatiro wanstahili kwa kweli kuwa wabunge wetu wa ubungo na kinondoni. Ni vijana na wanajua kila wanachokisema na natumaini watasimamia kile wanachokiamini.
Niko kwenye kochi nimetulia nawaangalia wagombea ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CHADEMA Philip Mogendi na Juliuus Mtatiro wa CUF na mgombea jimbo la Ubungo wakijadili mada ya keki ya Taifa. Hawa vijana kwa kweli wamejiandaa kuchukua majimbo yao. Wanajua mambo kwa kweli.
akina mtatiro na wengineo ni wasindikizaji tu. Mbunge mtarajiwa ni bw john mnyika yu tele kitini anasubiri kula kiapo aanze kuleta mageuzi.