ndio kawaida mtu akijiunga chadema, mchele, akijiunga kwengin e ni pumba. kuweni wanademokrasia
Hivi karibuni nilicheka sana,baada ya kumsikia Zitto akimlalamikia mgombea wa Cuf jimboni kwao,pale alipsema aliwapigia simu Cuf mara mbili kuwaambia yule mgombea wa Cuf bado ni ccm,kwa hiyo wasimuamini... Sasa nikajiuliza!!!!!!!!! wakiingia chadema sio ccm,lkn wakiingia Cuf bado wanakuwa ccm? Jamani au ndo mchecheto tu hoooooo. JULIUS MTATIRO wana ubungo wanasema ni wewe tu hawataki wababaishaji wengine.. Aluta continua baba.. Chadema wamesahau.. Waswahili wanasema MKUKI KWA NGURUWE LKN KWA M/DAMU NI MTAMU SAAANA. HAHAHAndio kawaida mtu akijiunga chadema, mchele, akijiunga kwengin e ni pumba. kuweni wanademokrasia
Kitendo cha mtatiro kugombea ubungo kimeudhi wengi tukiwemo wanaharakati wenzie tuliokuwa naye pale chuo.kwani hukuwepo wakati mnyika anaibiwa ushindi na keenja? Sasa nawe umeweka ili utawanye kura na ccm ishinde? Aibu kwako. Bahati nzuri bado pamoja na uchuro wenu,bado MNYIKA anaonekana kuwafunika.jirekebishe usijekuwa kuwa kama bosi wako prof.
Kitendo cha mtatiro kugombea ubungo kimeudhi wengi tukiwemo wanaharakati wenzie tuliokuwa naye pale chuo.kwani hukuwepo wakati mnyika anaibiwa ushindi na keenja? Sasa nawe umeweka ili utawanye kura na ccm ishinde? Aibu kwako. Bahati nzuri bado pamoja na uchuro wenu,bado MNYIKA anaonekana kuwafunika.jirekebishe usijekuwa kuwa kama bosi wako prof.
hapa napo zitto alichemka tuHivi karibuni nilicheka sana,baada ya kumsikia Zitto akimlalamikia mgombea wa Cuf jimboni kwao,pale alipsema aliwapigia simu Cuf mara mbili kuwaambia yule mgombea wa Cuf bado ni ccm,kwa hiyo wasimuamini... Sasa nikajiuliza!!!!!!!!! wakiingia chadema sio ccm,lkn wakiingia Cuf bado wanakuwa ccm? Jamani au ndo mchecheto tu hoooooo. JULIUS MTATIRO wana ubungo wanasema ni wewe tu hawataki wababaishaji wengine.. Aluta continua baba.. Chadema wamesahau.. Waswahili wanasema MKUKI KWA NGURUWE LKN KWA M/DAMU NI MTAMU SAAANA. HAHAHA
ndio kawaida mtu akijiunga chadema, mchele, akijiunga kwengin e ni pumba. kuweni wanademokrasia
Namhurumia sana ndugu yangu Mtatiro kwani atagalagazwa vibaya sana.
Msiwe mbumbumbu kamam makamba.mm na mtatiro tumekuwa ktk harakati chuo kkuu.sishabikii mtu mm.mtatiro siasa ni akili siyo mashindano ya pikipiki
naamini mtatiro ametumia haki yake ya kikatiba kama vile hawa ng'humbi na Mnyika... au kuna wengine wana haki zaidi ya wengine?Kitendo cha mtatiro kugombea ubungo kimeudhi wengi tukiwemo wanaharakati wenzie tuliokuwa naye pale chuo.kwani hukuwepo wakati mnyika anaibiwa ushindi na keenja? Sasa nawe umeweka ili utawanye kura na ccm ishinde? Aibu kwako. Bahati nzuri bado pamoja na uchuro wenu,bado MNYIKA anaonekana kuwafunika.jirekebishe usijekuwa kuwa kama bosi wako prof.