Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Uroho ndio unakufanya uwaze hivi.Duniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
Mkuu umewaza vizuri sana ila kabla hatujafika huko tutokomeze kwanza zeroDuniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
Acha uongoMbona hili suala la wadada walio single linawaumiza watu wengine kuliko wahusika wenyewe?
Mbona hili suala la wadada walio single linawaumiza watu wengine kuliko wahusika wenyewe?
Wakati unahamia Kwa mwingine, huyu unayemuacha si unamrudisha back to square one..?!?!Duniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
Sawa nitaachaAcha uongo
Si ndio hapo, ndio maana hata wao kuna wenye hela na kuna wanaume suruali teh povu ruksaSiyo kila mtu alikuja duniani kutimiziwa mahitaji yake yote lazima kuwepo waliopata na waliokosa wewe tulia na wa kwako mmoja hao wengine wasio na wa kwao hawakuhusu
Kwani wewe upo single na umegonga 30+ ?Unadhani linawaumiza? Hawana lolote uzinzi tu mbona hawaumizwi na masikini wasio na mali ila wanaumizwa na wanawake wasio na waume? Hakuna cha huruma wala msaada ni umalaya tu ndo unawasumbua.
Kwani malalamiko yanatolewa kwa vikundi?Kwani wapi tumelalamika usingle unatuumiza?
Mbona hili suala la wadada walio single linawaumiza watu wengine kuliko wahusika wenyewe?
ha ha ha haUroho ndio unakufanya uwaze hivi.
Wahusika hawawezi kukubali hili.
ha ha ha haNaona mkuu umeamua kutupa jabali gizani atakae piga ukunga ujue limempata
ha ha ha nafsi inaongeaKwani wapi tumelalamika usingle unatuumiza?