Mtazamo: Hollywood movies na suala la ushoga!

Ukistaajabu ya ushoga naomba usishangae series mpya inayokuja inaitwa lucifer..Yaani shetani maisha ya kuzimu yamemchosha akajiuzulu na kuja ishi dunian kwenye mji wa angels ( los Angeles) jamaa wanafika kiwango cha mwisho cha kukufuru.

????????????
 
kweli kabisa hicho ndio nilichokiona na kunifanya nishtukie hili sasa nipo makini zaidi katika kuchgua series/movie ya kutazama hata kama ni mimi mwenyewe.............Tunachokitazama na kusikia mara kwa mara huathiri fikra zetu kisha tabia zetu!Mtu unaweza usiwe gay lakini akili yako imeshaathirika so hutaona ubaya wowote watu wengine wakijihusisha huko.....Wazungu wajanja sana asee mwisho wa siku wakija usema tukubali hatutapinga kabisa!NATAPINGA/NAKATAA USHOGA NA MUVI ZOTE ZENYE SCENE HIZO
 
hawo ni mashetani malengo yao ni watu wote wawe mashoga kama wao...was... sana
 
Well said, kwa mfano Scandal ya Olivier Pop, chief of staff wa WHITE HOUSE ni gay halafu eti anapiga mzgo kama kawaida as a right hand of the President, can u imagine??

Boss wangu shoga na ainiathiri chochote ktk utendaji wangu wa kazi za kiofisi, bora nchi za nje wanapoonyesha wazi kuliko bongo wanakofanya siri wakati mashoga wa kimya kimya wako kibao kuliko wanaume rijali.
 
Boss wangu shoga na ainiathiri chochote ktk utendaji wangu wa kazi za kiofisi, bora nchi za nje wanapoonyesha wazi kuliko bongo wanakofanya siri wakati mashoga wa kimya kimya wako kibao kuliko wanaume rijali.

Aisee...
 
Wadau nnahisi kama mmefuatilia sana habari za ulimwenguni... Wazungu wengi wanalalamika pollution kuzidi kuwa kubwa sana duniani.

So njia mojawapo ya kupunguza idadi na kuhakikisha haiongezeki ni kupitia hiyo tabia ya(gays&lesbians).

Maana inafahamika kuwa mtu akishaingia kwenye hizo mambo uwezo wa kuzalisha(gay) upungua so kama ikifikia idadi ya walau 3 out of 10men ni gays hapo ni kuwa idadi ya kuzaliana duniani itapungua.

Ukiongezea na hizi chanjo zao wanazolazimishia watu kutumia mwisho wa siku tutafika kwenye malengo yao
 
Nshaachaga kuangalia series za cku hizi.

Huwa narudia 24 hours,Prison Break au Lost
 

Ulitaka kumaanisha population au
 
Movie kuchezwa na shoga ni tofauti na movie kuonesha vitendo vya kishoga.

Prison Break unaweza ukaangalia na watu wa rika lote bila kukwazika.
Sijui kama unajua mtu akiwa maarufu watu wanapenda mpaka wanaiga matendo yake.

Ndiyo maana unaona vijana wanamuga David Beckham anavyokata nywele na kuvaa, wanamuiga Michael Jackson, Michael Jordan, na wengine.


Michael Scofield, ni shoga lazima watu watamuiga vitendo vyake kwa jinsi alivyocheza vizuri Prison Break.
 

Ni kweli ulisemalo mkuu,lakini title ya hii thread umeielewa??
 
Ni kweli ulisemalo mkuu,lakini title ya hii thread umeielewa??
Nemeilewa ndiyo maana nimechangia.

Nikupe mfano mmoja.

Mimi zamani nilikuwa napenda sana jeans na tshirt za GAP baadae nilikuja kujua hawa jamaa nguo za ni kwa ajili ya mashoga nilipiga moto zote.

Lakini kuna watu wanavaa lakini siyo mashoga lakini ukipita na tshirt ya GAP ukitongozwa usiwe mkali.
 

Je Prison Break imepromote ushoga??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…