4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Yeye ndie na hakuna mwenye mamlaka juu yake na uwepo wake unadhihilika bila shaka wakuu wangu na waungwana sana wana JF ( sio machawa).
Wana JF amani ya Bwana na ikawe juu yenu popote mlipo kila mmoja kwa imani yenu .
Mada tajwa hapo juu yahusika wakuu.
Nimekaa na kutafakari sana juu ya kamati ya siasa ya ccm ambayo hujisibu kwamba ipo imara leo kuliko kesho ila binafsi nasema hamna kitu.
No Reform no election, huu pia ndo msimamo wangu ila kama reforms zitafanyika wenda kukawa na uchaguzi.
CCM tiyari ina mgombea wa urais ila yanayofanyika mbona ni maajabu tupu kwa mgombea wao, hii ni mpya sana ,maana nyingine kamati ya siasa ya chama cha CCM ipo ICU.
1. Leo mgombea wao anafanya matendo ambayo ni kinyume na sheria za uchaguzi hata kama sheria ni mbovu bado ila kamati wala haitimizi majukum yake katika kushauri ( kifupi mgombea wa ccm ameanza kampeni mapema nje ya taratibu na sheria zilizopo).
2. Juzi uko Arusha amesikika akisema maadhimisho ya siku ya mama zetu Duniani, atakaribia katika sherehe hizo 2030 akiwa anatoka madarakani, hii wengi imewaacha mdomo wazi, yani ata uchaguzi ungekua upo na asilimia 100 kufanyika na hata kama upo madarakani unawezaje toa kauri hii ukiwa kama mgombea mtarajiwa?. Hii hatukuwahi isikia kwa wagombea wote waliomtangulia , kamati ipo na wenda ilimshauri kwa hili.
3 ,Mabango kila mahali ya yeye na mgombea mwenza , na Mgombea wa Zanzibar maana yake nini? Ila kamati ipo imetoa macho tu .
Kwa maoni yangu kamati ya CCM ya siasa wenda wanajua wanachokifanya cha siri ambacho hata mgombea wao wenda hajui.
Ushauri
Mgombea wa CCM lala zako mbele huna team ya maana ,mchana unacheka nao usiku wenda wanakucheka acha legacy yako idum tu ila ukweli hata kama kipenga kinapigwa kesho huwezi kushinda asema Bwana na ilishakua.
No Reform no election
Thanks
Wana JF amani ya Bwana na ikawe juu yenu popote mlipo kila mmoja kwa imani yenu .
Mada tajwa hapo juu yahusika wakuu.
Nimekaa na kutafakari sana juu ya kamati ya siasa ya ccm ambayo hujisibu kwamba ipo imara leo kuliko kesho ila binafsi nasema hamna kitu.
No Reform no election, huu pia ndo msimamo wangu ila kama reforms zitafanyika wenda kukawa na uchaguzi.
CCM tiyari ina mgombea wa urais ila yanayofanyika mbona ni maajabu tupu kwa mgombea wao, hii ni mpya sana ,maana nyingine kamati ya siasa ya chama cha CCM ipo ICU.
1. Leo mgombea wao anafanya matendo ambayo ni kinyume na sheria za uchaguzi hata kama sheria ni mbovu bado ila kamati wala haitimizi majukum yake katika kushauri ( kifupi mgombea wa ccm ameanza kampeni mapema nje ya taratibu na sheria zilizopo).
2. Juzi uko Arusha amesikika akisema maadhimisho ya siku ya mama zetu Duniani, atakaribia katika sherehe hizo 2030 akiwa anatoka madarakani, hii wengi imewaacha mdomo wazi, yani ata uchaguzi ungekua upo na asilimia 100 kufanyika na hata kama upo madarakani unawezaje toa kauri hii ukiwa kama mgombea mtarajiwa?. Hii hatukuwahi isikia kwa wagombea wote waliomtangulia , kamati ipo na wenda ilimshauri kwa hili.
3 ,Mabango kila mahali ya yeye na mgombea mwenza , na Mgombea wa Zanzibar maana yake nini? Ila kamati ipo imetoa macho tu .
Kwa maoni yangu kamati ya CCM ya siasa wenda wanajua wanachokifanya cha siri ambacho hata mgombea wao wenda hajui.
Ushauri
Mgombea wa CCM lala zako mbele huna team ya maana ,mchana unacheka nao usiku wenda wanakucheka acha legacy yako idum tu ila ukweli hata kama kipenga kinapigwa kesho huwezi kushinda asema Bwana na ilishakua.
No Reform no election
Thanks