NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kabla ya mchezo niliandika uzi ulisema Azam atashinda au atadroo mbele ya simba sc na kweli ikawa hivyo.
Tatizo lilianzia kwa Ahmedy Ally baada ya kuzungumza maneno yakukatisha tamaa/kukata tamaa pale simba ilipotoa droo dhidi ya namungo. Kwa sisi tuliocheza mpira tunajua ili timu ipate matokeo /ifanye vizuri uwanjani huwa vinazingatiwa vitu viwili ama vitatu muhimu.
1/ Saikolojia ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi kwa ujumla.
2/ Body fitness ya wachezaji
Hivyo ni vitu muhimu sana Tena sana katika ulimwengu wa football.
Gemu ya Jana wachezaji waliingia kutimiza ratiba lakini kisaikolojia walikua hawapo sawa kabisa na hiyo ni sumu ilitoka kwa Ahmedy Ali kuzungumza maneno yakukatisha tamaa, ni Bora ahmedy Ally angezungumza kauli zake zile zile za kutia moyo Kama anavyozungumza kuliko kutoa kauli ambazo moja kwa moja ziliiathiri benchi la ufundi mpaka wachezaji na kujikuta wanakwenda kutimiza ratiba tu.
Tazama mzamiru, mohammedi Hussein, shomari kapombe.
Hawa ni wachezaji amabao huwa Wana morali wakati wote lakini gemu ya Jana walikua Kama hawapo kabisa ndani ya pitch.
My take, wasemaji wa timu muangalie maneno mtakayozungumza kabla ya mchezo au baada ya mchezo yataleta impact gani?
Neno dogo linaweza kuleta effect kubwa sana kuliko ulivyozania.
Tatizo lilianzia kwa Ahmedy Ally baada ya kuzungumza maneno yakukatisha tamaa/kukata tamaa pale simba ilipotoa droo dhidi ya namungo. Kwa sisi tuliocheza mpira tunajua ili timu ipate matokeo /ifanye vizuri uwanjani huwa vinazingatiwa vitu viwili ama vitatu muhimu.
1/ Saikolojia ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi kwa ujumla.
2/ Body fitness ya wachezaji
Hivyo ni vitu muhimu sana Tena sana katika ulimwengu wa football.
Gemu ya Jana wachezaji waliingia kutimiza ratiba lakini kisaikolojia walikua hawapo sawa kabisa na hiyo ni sumu ilitoka kwa Ahmedy Ali kuzungumza maneno yakukatisha tamaa, ni Bora ahmedy Ally angezungumza kauli zake zile zile za kutia moyo Kama anavyozungumza kuliko kutoa kauli ambazo moja kwa moja ziliiathiri benchi la ufundi mpaka wachezaji na kujikuta wanakwenda kutimiza ratiba tu.
Tazama mzamiru, mohammedi Hussein, shomari kapombe.
Hawa ni wachezaji amabao huwa Wana morali wakati wote lakini gemu ya Jana walikua Kama hawapo kabisa ndani ya pitch.
My take, wasemaji wa timu muangalie maneno mtakayozungumza kabla ya mchezo au baada ya mchezo yataleta impact gani?
Neno dogo linaweza kuleta effect kubwa sana kuliko ulivyozania.