Mtazamo na ushauri wangu kwa serikali juu ya usaili wa walimu

Mtazamo na ushauri wangu kwa serikali juu ya usaili wa walimu

mesuka

Member
Joined
Sep 26, 2024
Posts
5
Reaction score
8
Habari wadau,

Kwanza nianze kwa kutafakari kwanini shule za serikali haziongozi kwenye matokeo, kubali kataa sababu ni hizi.

1. Miundombinu na vifaa vya kufundishia.
2. Ufuatiliaji wa wanafunzi na mienendo ya walimu.
3. Mchakato wa kuwapata walimu na kuwafuatilia kwa ukaribu.
4. Mishahara.

Sababu tajwa hapo juu hutekelezwa vizuri na shule za binafsi. Kama serikali inahitaji kuboresha elimu, isijikite kwenye kigezo kimoja cha usaili, kwa kufanya hivyo shule za binafsi zitaendelea kuongoza milele. Serikali ni wataalamu wa kutunga sera utekelezaji hafifu. Mimi naamini usaili nao utaingiwa mchanga tu (rushwa, upendeleo na ukabila).
 
Habari wadau,

Kwanza nianze kwa kutafakari kwanini shule za serikali haziongozi kwenye matokeo, kubali kataa sababu ni hizi.

1. Miundombinu na vifaa vya kufundishia.
2. Ufuatiliaji wa wanafunzi na mienendo ya walimu.
3. Mchakato wa kuwapata walimu na kuwafuatilia kwa ukaribu.
4. Mishahara.

Sababu tajwa hapo juu hutekelezwa vizuri na shule za binafsi. Kama serikali inahitaji kuboresha elimu, isijikite kwenye kigezo kimoja cha usaili, kwa kufanya hivyo shule za binafsi zitaendelea kuongoza milele. Serikali ni wataalamu wa kutunga sera utekelezaji hafifu. Mimi naamini usaili nao utaingiwa mchanga tu (rushwa, upendeleo na ukabila).

Hakuna huduma yoyote ya serikali imekaa vizuri

Nenda hosptali
Nenda sehemu zote

Serikalini huwa hakuna wachapakazi
 
Back
Top Bottom