Adrianinho
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 426
- 522
Mahaba yakizidi huleta upofu na ulemavu wa kufikiri.Mkuu, nenda kwa mkemia mkuu wa serikali akupe dawa halisi ya misukule uamke....dawa uliyonyeshwa na Gwajima ilisha expire miaka kadhaa iliyopita. Wewe unabisha, Gwajima mwenyewe anahaa huko alipo anataka kujiua baada ya kuanikwa upuuzi wake.
Unateseka sana mkuu hadi unatia huruma.kakojoe ulale, na kwakuwa wewe ni mtoto baada ya kukojoa futo govi lako ndio uje hapa.
ile ssi video ya gwajima, ni watu wametengeneza, watwsi wa nchi hii, watu wasiojulikana ili tusahau ya mdude chdema, ili kumtukana kristo, Yesu walimuua seuze Gwajima kutungiwa huu uongo?
msishangae watu wanakufa vifo vya ajabu, watu wanaenda likizo wanapata ajali za ajabu mnaulizana mwendokasi kumbe Mungu analipa kisasi na kupatiliza wana uobu wa baba zao
Mkuu tupo kwny mfungo....usiuhusishe Uislamu na video za siri za watu tafadhali.wala usitake , ni mapinga kristo ya islamic state yanaleta vita ya kidini
Mkuu watu wanapenda kutafuta escape goat. Ingekuwa video ya Diamond hakuna ambaye angesema ni fake lakini ni vile tu hawataki kuuface ukweli wanabadiri mada wameanza sasa eti mpinga KristoMkuu tupo kwny mfungo....usiuhusishe Uislamu na video za siri za watu tafadhali.
Kama alifumaniwa na kabinti hilo tu linatosha kuonyesha kuwa siyo msafi, sema mtutu wa bunduki ndo ukayaweka hadharani. Jamaa bwana alikuwa anakula bunye kwa raha zake mengine tunapakizia watu bure na huenda ni tabia yake sema bahati mbaya hili limetoka hadharaniHuenda alitengenezewa mtego, akafumaniwa na kabinti tu. Ili ionekane ni mke wa MTU akalazimishwa kupigwa picha chini ya mtutu, wabaya wake wamemnasa tayari, kumblack mail, ukiwa na maadui kuwa smart, achana na ngono zembe, shetani huwatumia zaidi wanawake kuwaangusha wanaume ngangari,
Mimi ninachojua siku zote watu wenye wafuasi wengi, viongozi wa dini, wamiliki wa media, watu wenye madaraka na viongozi wa dini huwa hawakosei kabisa hata wakiua mtu mchana wa saa 7 kaiakoo.1.Gwajima ni tajiri, kama ile video ni animated awaite wataalam wa kuchunguza videos na uchunguzi uwe huru na haki na majibu yatolewe to the public.
2. Watress video mrushaji wa kwanza ni nani?
kwani Gwajima ndo nani mpaka mkeshe kumfatilia.
Mahaba yakizidi huleta upofu na ulemavu wa kufikiri.
Nimeangalia tena na tena, hii video iko authentic, hamna editing hapo..,mapazia ya rangi ya Grey yako kwenye video zote mbili sema video ziko kwenye angle tafauti, na ndio maana unaona tafauti ya picha..Kwanza ifahamike, Mimi sio mshirika wa Gwajima wala siandiki ili kumtetea.Mimi ni mtaalamu wa maswala ya ICT, na nimefanyakazi nyingi sana za Photoshop na Editting za picha mbalimbali
Kwanza, nimefuatilia kuhusu hiyo video, ni kweli huyo ni Gwajima Ila hiyo sauti ya mwanamke inayosikika ni sauti iliyopenyezwa haitokani na uhalisia wa tukio
Pili, Hiyo picha inayomuonyesha Gwajima kwamba amelala juu ya mwanamke ni picha iliyotengenezwa, Ukiangalia maungo kati ya shingo na kichwa cha Gwajima kilipopachikwa utaelewa kuwa Gwajima hana shingo ndefu namna ile.Hicho kichwa kimekuwa croped kutoka katika ile video
Tatu, Mazingira ya video inayoonyeshwa na mazingira ya picha iliyotumwa hayaendani, angalia mapazia na background zimetofautiana kabisa
Nne, Ni swala la kujiuliza maswali ya logic tu ambayo yatakupa kujua Hilo tukio Si la kweli Bali kutengenezwa. Je ni nani ambaye Gwajima angekubali ampige picha wakati anafanya mapenzi?Kama huyo mwanamke ni mchepuko wake, Je Gwajima ni kwamba hana akili mpaka akubali kupigwa picha akiwa anafanya mapenzi? Hata kama angekuwa kweli yupo na mkewe au mchepuko, isingewezekana kukubali kupigwa picha, ajipige picha ili akamuonyeshe nani?
Hizi taarifa ni za uongo kabisa zenye lengo Si tu la kumchafua na Kumshushia heshima Gwajima Bali linachafua kanisa la Mungu kwa ujumla, hata kama Gwajima humpendi au sio mchungaji wako lakini kufurahia aibu na video hzi kwa Gwajima ikiwa ni Kuutukanisha Ukristo wako pia na kumtukana Mungu
Hivyo, Ikiwa kweli wewe ni mkristo wa kweli lazima utaukemea ushetani huu unaosambazwa na maajenti ya ibilisi kuuchafua ukristo kwa ujumla.Hivyo kushiriki kufurahia au kusambaza taarifa hizi chafu kwa kufurahia aibu hii kwa Gwajima ujue unashiriki kazi za shetani, na wewe ni mchafu wa namna hiyo hiyo
Mtu anayefanya chini ya mtutu hawi vile ana enjoy kabisa shoo.....labda kinachowezekana yule dada ndio awe agent kamlainisha mchungaji na kumfundisha mambo ya kujirekodi mchungaji akaingia kingi..kwa mitamaa yake... Baada ya mission kumalizika aka copy ma file yote huku yeye mchungaji akijua video zake zipo safe kwenye simu yake ya siri(maana ana mke)Huenda alitengenezewa mtego, akafumaniwa na kabinti tu. Ili ionekane ni mke wa MTU akalazimishwa kupigwa picha chini ya mtutu, wabaya wake wamemnasa tayari, kumblack mail, ukiwa na maadui kuwa smart, achana na ngono zembe, shetani huwatumia zaidi wanawake kuwaangusha wanaume ngangari,
Mkuu tusubiri neno kutoka kwa Gwajiima naamini hanaga uvivu wa kuongea na kujenga hoja .wale si ulikuwa unawaona sura, angalia zile picha angalia pua ya mtombaji wa kwanza na ile ya pili iliyosemwa ni gwajima akiwa kifua wazi, mtombaji kichwa na mwili wake havifanani.
angalia hips za yule dada wa kwanza na huyu aliyepostiwa, yule mmoja na nywele fupi kanyoa wa pili aliyekuwa anatomba** ana nywele ndefu.
'angalia mapazia , hakuna kanisa lina mapazia yale alafu ile ya pili eti kuna mapazia ya kanisa.
kwanini hakuanzia mwanzo wakati anaingiza kichwa cha mb** tuone sura badaya yake wakaweka katikati akiwa anakaribia kukojoa?
yule mwanamke alifeki kufika kileleni wakati mtombaji ndio alifika,
wachana na wapinga kristo, hizi ni siku za mwisho, omba Mungu awasambaratishe maadui na wapinga kristo