mtazamo wa watu kwenye trend ya COVID-19

Asha Hincha

Member
Joined
Jul 13, 2021
Posts
15
Reaction score
18
hivi kwanini kila serekali inapo zungumzia kuhusu COVID-19 aidha idadi ya wagonjwa, au kuhusu chanjo au kuchukua tahadhari, basi watu wanakuja na hoja za "wanaipigia debe COVID-19 ili wapate mikopo sijui nn na nn..
njia gani itumike kuwaelemisha watu juu ya hili suala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…