The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Hii ni fact kutokana na uzoefu wa mahali pengi duniani na hata ccm kwenyewe huwa rais anapotumikia muhula wake wa mwisho ni kipindi kigumu sana kiuongozi.
Kuna kuwa na mambo mengi sana yamemchosha hivyo hata yeye mwenyewe huona amalize tu ngwe yake akapumzike awaachie wengine waendelee.
Kunakuwa na kakisirani fulani hivi hasa kwa wapenda madaraka kuona ndo cheo kinamponyoka na hana namna ya kukiretain hivyo hufanya bora liende.
Kuna magenge ya wajanja wa mjini kwa kuwa wanajua anamalizia na akili imechoka wanamchomekea vitu vingi na kumwingiza kingi ili wapige hela.
Makundi ya wanaotaka urais huanza kuumizana ili kupigania nafasi. Makundi haya huwa na nguvu sana kiasi kwamba yahitajika nguvu ya ziada kutuliza mambo
Hizi ni baadhi tu ya sababu zinazofanya muhula wa mwisho wa urais liwe jambo gumu sana kwa chama.
Ni katika mazingira hayo huhitajika mwenyekiti tough sana na anayesikilizwa si kwa sababa ya majeshi au uamiri jeshi, bali awe amejaaliwa hivyo.
Ilikuwa nafuu kama angeachia sasa kwa sababu kwanza kuna wasiwasi na pili waliojopanga bado hawajakita mizizi sana wanadhibitika kirahisi.
Nashauri aweke mpira kwapani aachie vijana waendelee na mtanange atalinda heshima
Maana nakumbuka yule wa msoga manusura chama kimfie. Kama mama akikomaa kugombea.... watch out part two is loading.
Kuna kuwa na mambo mengi sana yamemchosha hivyo hata yeye mwenyewe huona amalize tu ngwe yake akapumzike awaachie wengine waendelee.
Kunakuwa na kakisirani fulani hivi hasa kwa wapenda madaraka kuona ndo cheo kinamponyoka na hana namna ya kukiretain hivyo hufanya bora liende.
Kuna magenge ya wajanja wa mjini kwa kuwa wanajua anamalizia na akili imechoka wanamchomekea vitu vingi na kumwingiza kingi ili wapige hela.
Makundi ya wanaotaka urais huanza kuumizana ili kupigania nafasi. Makundi haya huwa na nguvu sana kiasi kwamba yahitajika nguvu ya ziada kutuliza mambo
Hizi ni baadhi tu ya sababu zinazofanya muhula wa mwisho wa urais liwe jambo gumu sana kwa chama.
Ni katika mazingira hayo huhitajika mwenyekiti tough sana na anayesikilizwa si kwa sababa ya majeshi au uamiri jeshi, bali awe amejaaliwa hivyo.
Ilikuwa nafuu kama angeachia sasa kwa sababu kwanza kuna wasiwasi na pili waliojopanga bado hawajakita mizizi sana wanadhibitika kirahisi.
Nashauri aweke mpira kwapani aachie vijana waendelee na mtanange atalinda heshima
Maana nakumbuka yule wa msoga manusura chama kimfie. Kama mama akikomaa kugombea.... watch out part two is loading.