Mtazamo wangu;bado Masaki ni bora kuliko Mbweni

Mtazamo wangu;bado Masaki ni bora kuliko Mbweni

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Nikipita Mbweni huwa najiona mjinga sana,mahekalu yale yamejengwa nayaona kabisaaa.

Nimezaliwa mjini,nimekulia mjini,shule nimekwenda kiasi chake,lakini sijui nilifeli wapi kumiliki mjengo maeneo hayo.

Pamoja na hayo yote,Masaki bado ni the best.

Ukitaka kujua kama chuo unachosoma ni reputable angalia idadi ya foreign students chuoni kwako,hasa wazungu,ukiona hakuna ujue hicho sio chuo.

Na mitaa ni hivyo hivyo,Masaki inaongoza kwa wazungu kuishi kuliko eneo lolote nchini.hii ina maana kubwa sana kwa wale wadadavuaji
 
Nikipita Mbweni huwa najiona mjinga sana,mahekalu yale yamejengwa nayaona kabisaaa.

Nimezaliwa mjini,nimekulia mjini,shule nimekwenda kiasi chake,lakini sijui nilifeli wapi kumiliki mjengo maeneo hayo.

Pamoja na hayo yote,Masaki bado ni the best.

Ukitaka kujua kama chuo unachosoma ni reputable angalia idadi ya foreign students chuoni kwako,hasa wazungu,ukiona hakuna ujue hicho sio chuo.

Na mitaa ni hivyo hivyo,Masaki inaongoza kwa wazungu kuishi kuliko eneo lolote nchini.hii ina maana kubwa sana kwa wale wadadavuaji
Kila mahali ni Bora Mkuu, inategemea umelenga Nini!
 
Kila mahali ni Bora Mkuu, inategemea umelenga Nini!
Sio kweli niliwahi kuishi Manzese niliambulia kuibiwa kila kitu,ila nilipenda ngoma za vigodoro kumwaga radhi mchana kweupe
 
Nikipita Mbweni huwa najiona mjinga sana,mahekalu yale yamejengwa nayaona kabisaaa.

Nimezaliwa mjini,nimekulia mjini,shule nimekwenda kiasi chake,lakini sijui nilifeli wapi kumiliki mjengo maeneo hayo.

Pamoja na hayo yote,Masaki bado ni the best.

Ukitaka kujua kama chuo unachosoma ni reputable angalia idadi ya foreign students chuoni kwako,hasa wazungu,ukiona hakuna ujue hicho sio chuo.

Na mitaa ni hivyo hivyo,Masaki inaongoza kwa wazungu kuishi kuliko eneo lolote nchini.hii ina maana kubwa sana kwa wale wadadavuaji
NI HASARA KUBWA SANA...!
 
Wazungu ndo kipimo Cha maendeleo kwenye sehem hizo mbili? Sababu masaki Pana wazungu wengi bas ndo Bora sana kuliko mbwen?? 🤔
 
Wazungu ndo kipimo Cha maendeleo kwenye sehem hizo mbili? Sababu masaki Pana wazungu wengi bas ndo Bora sana kuliko mbwen?? 🤔
Mzungu atakosea vyote ila sio mipango miji au makazi bora.
Tanga inasifika kwa mipango miji sababu ya masterplan ya mjerumani,Dar es salaam iliharibika baada ya mkoloni kuondoka,ukkifika new york utashangaa barabara pana 8 lanes ina miaka zaidi ya 150 unajiuliza walijuaje kama kutakuwa na foleni.

Ukienda Los Angelos ndio utajua pepo ipo duniani wala sio mbinguni
 
Back
Top Bottom