Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
Takukuru ni chombo cha kumulika na kuwaangza watoaji, wala rushwa na hata wanaoishabikia.
Inaonekana kwamba aidha kuna Takukuru ambao wanafanya kazi sana au wengine hawaonekani kufanya kazi kutokana na maeneo kwakua labda hakuna vitendo vya rushwa au hao takukuru wenyewe ni wala rushwa.
Ilitakiwa ifanyike tathmini ya jumla kwa zile ofisi ambazo hasiisaidii serikali kupambana na rushwa basi walengwa waondoke ili wapishe wengine. Kwanamna dunia ilivyo haiwezekani inaisha miezi sita ofisi haijakamata mlarushwa wala mtoa rushwa.
Naikitokea kama nikweli hawajakamata basi itakua wananchi wa eneo husika hawana elimu ihusuyo rushwa. Hivyo bado lawama inarudi Takukuru.
Ninasema hivyo kwani rushwa imetapakaa katika idara mbalimbali kama vile afya,ujenzi,elimu,nishati,polisi hasa wale wa barabarani.
Sijawahi kusafiri nikakosa kuona rushwa inatolewa. Rushwa inaelekea kua kama kodi barabarani,kwa trafiki rushwa sio mada ngeni.
Wapo baadhi ya wafanyakazi wasio wazalendo,wasio jielewa,wenye tamaa ya hela,wasiokua na aibu,wasiokua na maadili na kila aina ya tabia mbaya kazini ambao hujiunga na magenge ya wenye hela na watoa rushwa. Wanajiunga nao kwa kuwanasua hata inapowekwa mitego wanawapa taarifa walengwa.
Kwa baadhi ya maeneo ukiaikia mtu amekamatwa na rushwa ujue huyo ni mkaidi dhidi ya makubaliano aliyopewa na watumishi wasio waadilifu au hana mtandao ndani ya ofisi hizo.
Kwa maeneo ambayo wanamaliza miezi sita bila kuisaidia serikali ingekua vizuri wakapumzishwa kwani wanaenda kinyume na malengo ya taasisi hiyo
Inaonekana kwamba aidha kuna Takukuru ambao wanafanya kazi sana au wengine hawaonekani kufanya kazi kutokana na maeneo kwakua labda hakuna vitendo vya rushwa au hao takukuru wenyewe ni wala rushwa.
Ilitakiwa ifanyike tathmini ya jumla kwa zile ofisi ambazo hasiisaidii serikali kupambana na rushwa basi walengwa waondoke ili wapishe wengine. Kwanamna dunia ilivyo haiwezekani inaisha miezi sita ofisi haijakamata mlarushwa wala mtoa rushwa.
Naikitokea kama nikweli hawajakamata basi itakua wananchi wa eneo husika hawana elimu ihusuyo rushwa. Hivyo bado lawama inarudi Takukuru.
Ninasema hivyo kwani rushwa imetapakaa katika idara mbalimbali kama vile afya,ujenzi,elimu,nishati,polisi hasa wale wa barabarani.
Sijawahi kusafiri nikakosa kuona rushwa inatolewa. Rushwa inaelekea kua kama kodi barabarani,kwa trafiki rushwa sio mada ngeni.
Wapo baadhi ya wafanyakazi wasio wazalendo,wasio jielewa,wenye tamaa ya hela,wasiokua na aibu,wasiokua na maadili na kila aina ya tabia mbaya kazini ambao hujiunga na magenge ya wenye hela na watoa rushwa. Wanajiunga nao kwa kuwanasua hata inapowekwa mitego wanawapa taarifa walengwa.
Kwa baadhi ya maeneo ukiaikia mtu amekamatwa na rushwa ujue huyo ni mkaidi dhidi ya makubaliano aliyopewa na watumishi wasio waadilifu au hana mtandao ndani ya ofisi hizo.
Kwa maeneo ambayo wanamaliza miezi sita bila kuisaidia serikali ingekua vizuri wakapumzishwa kwani wanaenda kinyume na malengo ya taasisi hiyo