Mtazamo wangu juu ya kauli ya kuishi na wanawake kwa kutumia akili.

Mtazamo wangu juu ya kauli ya kuishi na wanawake kwa kutumia akili.

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Tulipo ambiwa tuishi nao kwa akili haikuwa na maana kwamba wana akili nyingi kutuzidi, maana yake ni kwamba wao wana kitu kinaitwa Emotionalism, wanatumia na kuongozwa na hisia, ni wazito kutafakari kabla ya kufanya maamuzi.

Endapo na sisi tukiendekeza hisia na mihemko ( Emotionalism) basi hapatakuwa na suluhisho bali maafa zaidi, endapo wakijawa na hisia, ni vyema kutumia akili katika kukabiliana na mihemko yao pamoja na kutafakari kabla ya kufanya maamuzi.

Tuishi nao kwa akili kwa lengo la kukabiliana na hisia kali pamoja na mihemko yao, sio kwamba wamepewa akili kubwa kuliko sisi, hivyo ndivyo walivyo.
 
Tulipo ambiwa tuishi nao kwa akili haikuwa na maana kwamba wana akili nyingi kutuzidi, maana yake ni kwamba wao wana kitu kinaitwa Emotionalism, wanatumia na kuongozwa na hisia, ni wazito kutafakari kabla ya kufanya maamuzi.

Endapo na sisi tukiendekeza hisia na mihemko ( Emotionalism) basi hapatakuwa na suluhisho bali maafa zaidi, endapo wakijawa na hisia, ni vyema kutumia akili katika kukabiliana na mihemko yao pamoja na kutafakari kabla ya kufanya maamuzi.

Tuishi nao kwa akili kwa lengo la kukabiliana na hisia kali pamoja na mihemko yao, sio kwamba wamepewa akili kubwa kuliko sisi, hivyo ndivyo walivyo.
Kaka sisi ndio tuna upungufu wa akiri ndio maana tuliambiwa tutumie akiri kuishi nao.
Maana wakati wanaumbwa mwanaume alikuwa usingizini. Kuja kuamka anakuta Binti yupo jikoni anapika misosi. Haaaaaaaah Hatari sana. Mwanamke, Mama, Shangazi, Dada.
 
Kaka sisi ndio tuna upungufu wa akiri ndio maana tuliambiwa tutumie akiri kuishi nao.
Maana wakati wanaumbwa mwanaume alikuwa usingizini. Kuja kuamka anakuta Binti yupo jikoni anapika misosi. Haaaaaaaah Hatari sana. Mwanamke, Mama, Shangazi, Dada.
Sisi ndyo tumetangulia kuumbwa na kupewa mamlaka ya usimamizi au uongozi katika hii dunia, mwanamke ameumbwa kuwa msaada kwetu yaani tusiwe wapweke.

Wana akili lakini sio kama sisi, ni wazito kufanya maamuzi na kupanga mipango, tunapaswa kuishi nao kwa akili kwani wao ni watu wa hisia na mihemko.
 
Back
Top Bottom