Asalaaam Wandugu zangu, Natumai kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu Kila Mwana JF Yupo OK. Napenda kuchukua fursa hii kutoa maoni yangu juu ya matokeo ya vilabu vyetu 2 Simba vs Yanga na matokeo mabaya wanayoyapata katika mashindano ya kimataifa.
1 Mfumo wa ligi yetu ya Nyumbani ni mbaya
2 Maandalizi Duni ya Vilabu juu ya Mechi za kimataifa
3 kutokua na mikakati madhubuti ya michezo ya kimataifa
4 Uwezo binafsi wa Wachezaji wa vilabu
5 Magazeti kuchangia kuharibu wachezaji kwa kuandika uongo na kusifia tofauti na uhalisia.
Karibuni katika hoja hii na Asanteni kwa Michango yenu.