Mtazamo wangu kuhusu wanawake wa Sinza.

Hahahaha, huko hamna wa sinza ? OK ahsante Mkuu
Wapo ila sio kivile. Hawawezi kukosa.

Ukiwa na premium account au hata account yakawaida utakula watoto wazuri sana.

Kuna kidemu flan kiko twitter maarufu, nakifollow twitter ila hakijui, nikakutana nacho tinder aisee, kile kitoto kitamu balaa. Sema bei yake mkasi, mnapima kwanza kisha kanakupa raha Duniani.
 
πŸ€” hapo penye 100k pagumu usawa huu!!
 
Promo la dating sites hili. Sheeeenz wewe
 
Sehemu yoyote ambayo ina wapangaji wengi wa kila rika huwa kunachangamoto
 
Dua tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kama na wewe Upo kwenye hiyo mitandao ya kikahaba, na wewe Upo kundi hilo hilo haijalishi unaishi wapi
 
Tabata mademu wengi wa kiswahili. Wamejaa mitatoo kama wenzao wa sinza. At least Kinyerezi.

Watoto naopendelea kula sasa ni wa Goba.

Dah dah dah Brother.

Umefika hadi mitaa yetu.
Lahaulah!

Pamoja na kununua, ila bado unataka ununue pisi inayokuuzia ww tu na sio malaya.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wanaume Mungu anatuona.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah dah dah Brother.

Umefika hadi mitaa yetu.
Lahaulah!

Pamoja na kununua, ila bado unataka ununue pisi inayokuuzia ww tu na sio malaya.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wanaume Mungu anatuona.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwenu mitaa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…