Ferrenga
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 942
- 1,658
Nawasalimu wana jukwaa wenzangu
Nimekuwa nikifwatilia industry hii ya media kwenye maswala yote yakiwemo ya michezo,muziki,na siasa pia.Leo nataka nimzungumzie huyu kijana kennedy ambaye anatangaza XXL ya clouds fm akiwa na Bdozen,Mchomvu na Mami,pia anakipindi kila jumamosi kinachoitwa bongo fleva..
Kwa kuanza kabisa,huyu kennedy alikuja clouds alitokea East africa redio ambako alikuwa anakipindi ambacho kilikuwa kina mvuto wa aina yake kilichokuwa kinaitwa the cruise na kipindi hicho alikuwa akihost na george bantu
Baada ya kuhamia clouds alianza na kipindi cha so so fresh kilichokuwa kimeachwa wazi na fetty,kilikuwa kinaruka kila ijumaa saa nne usiku..Baada ya fetty kuaga rasmi,kennedy alitambulishwa kama member mpya wa XXL na pia alipewa kipindi cha bongo fleva ambacho kinaruka kila jumamosi na kabla ya hapo kipindi hiki kilikuwa kinahostiwa na adamu mchomvu
Kijana huyu anakipaji kizuri sana cha utangazaji na kama mnavojua ipp media wamekuwa wakitengeneza presenter wazuri sana refer kina millard ayo na wengine..Kinachonishangaza ni yeye baada ya kufika tu clouds amerelax as if kila kitu amechamaliza kwenye tasnia yake ya utangazaji...kuwa clouds naamini ni njia ya kuweka kufika mbali kwa presenter yoyote anayejua anafanya nini
Amepewa kipindi cha bongo fleva ambacho anakiendesha kwa kiwango ambacho mimi naona bado..ukitizama zamani kipindi hiki kiliweza kuwaibua wasanii kama godzilla,dogo janja,young dee na wengine wengi..Kipindi kimekosa mvuto ambao unastaili..
Kwa nafasi aliyopewa kennedy,ingempasa awe amekiboresha sana kipindi cha bongo fleva na kuacha kufanya tu kazi ilimradi(kwa mazoea).anatakiwa pia aboreshe the way ana interview someone..Nafasi uliyopewa wewe kennedy hakika kuna presenter wengi wanatamani wangeipata,ila wewe mimi naona hauitendei haki
Kama uliweza kufanya the cruise kuwa kipindi bora,unashwindwaje kufanya pia bongo fleva kiwe na mvuto..
Ningependa nikushauri,ubadilike uwe yule kennedytherenedy wa earadio tuliyemjua,boresha kipindi cha bongo fleva kiwe na mvuto na pia ukiwa kwenye XXL jaribu sometimes kuwa critical kwenye maswala ya msingi..Bdozen niamini pia ni presenter mzuri sana kuwahi kutokea hapa bongo,kwahiyo unaweza kijifunza kidogo kutoka kwake
Ni hayo tu kwa sasa kwako wewe Kennedy...Naamini utaufanyia kazi ushauri wangu.
Nimekuwa nikifwatilia industry hii ya media kwenye maswala yote yakiwemo ya michezo,muziki,na siasa pia.Leo nataka nimzungumzie huyu kijana kennedy ambaye anatangaza XXL ya clouds fm akiwa na Bdozen,Mchomvu na Mami,pia anakipindi kila jumamosi kinachoitwa bongo fleva..
Kwa kuanza kabisa,huyu kennedy alikuja clouds alitokea East africa redio ambako alikuwa anakipindi ambacho kilikuwa kina mvuto wa aina yake kilichokuwa kinaitwa the cruise na kipindi hicho alikuwa akihost na george bantu
Baada ya kuhamia clouds alianza na kipindi cha so so fresh kilichokuwa kimeachwa wazi na fetty,kilikuwa kinaruka kila ijumaa saa nne usiku..Baada ya fetty kuaga rasmi,kennedy alitambulishwa kama member mpya wa XXL na pia alipewa kipindi cha bongo fleva ambacho kinaruka kila jumamosi na kabla ya hapo kipindi hiki kilikuwa kinahostiwa na adamu mchomvu
Kijana huyu anakipaji kizuri sana cha utangazaji na kama mnavojua ipp media wamekuwa wakitengeneza presenter wazuri sana refer kina millard ayo na wengine..Kinachonishangaza ni yeye baada ya kufika tu clouds amerelax as if kila kitu amechamaliza kwenye tasnia yake ya utangazaji...kuwa clouds naamini ni njia ya kuweka kufika mbali kwa presenter yoyote anayejua anafanya nini
Amepewa kipindi cha bongo fleva ambacho anakiendesha kwa kiwango ambacho mimi naona bado..ukitizama zamani kipindi hiki kiliweza kuwaibua wasanii kama godzilla,dogo janja,young dee na wengine wengi..Kipindi kimekosa mvuto ambao unastaili..
Kwa nafasi aliyopewa kennedy,ingempasa awe amekiboresha sana kipindi cha bongo fleva na kuacha kufanya tu kazi ilimradi(kwa mazoea).anatakiwa pia aboreshe the way ana interview someone..Nafasi uliyopewa wewe kennedy hakika kuna presenter wengi wanatamani wangeipata,ila wewe mimi naona hauitendei haki
Kama uliweza kufanya the cruise kuwa kipindi bora,unashwindwaje kufanya pia bongo fleva kiwe na mvuto..
Ningependa nikushauri,ubadilike uwe yule kennedytherenedy wa earadio tuliyemjua,boresha kipindi cha bongo fleva kiwe na mvuto na pia ukiwa kwenye XXL jaribu sometimes kuwa critical kwenye maswala ya msingi..Bdozen niamini pia ni presenter mzuri sana kuwahi kutokea hapa bongo,kwahiyo unaweza kijifunza kidogo kutoka kwake
Ni hayo tu kwa sasa kwako wewe Kennedy...Naamini utaufanyia kazi ushauri wangu.