Somaiyo
Senior Member
- Jul 1, 2022
- 102
- 184
Hellow people!! Hope mko salama sana na mnaendelea vizuri huko mlipo!
Leo ni siku ya uchaguzi, na nimebahatika kushiriki!!
Kwa ufupi sana naomba nitoe my observations:
👉Hakukua na uchaguzi bali hitimisho la kalenda ya utaratibu kwamba kama taifa Huwa tuna uchaguzi wa serikali za mitaa kabla ya uchaguzi wa serikali kuu.
👉Wasiojua kusoma na kuandika katika taifa hili Bado niwengi sana na kama takwimu zikiwekwa hadharani basi itashangaza sana (maana yake ujinga Bado nimwingi sana nchini kwetu) na hawa ndio wamejitokeza kujiandikisha na kupigwa kura Kwa wingi
👉Vyama vya upinzani havikujiandaa na uchaguzi huu wa maonyesho, either nawao ni part ya maonyesho haya au nivyama visivyo jielewa vina Fanya kazi gani
👉Chama tawala Kwa sasa kinatumia vyombo vya ulinzi na usalama, na watumishi wa umma kuahakikisha kinaendelea kubaki madarakani na Kwa jinsi ilivyo kitaendela kuwepo Kwa 100 years tena as long as Dunia na nchi inaitwa tanzania itaendela kuwepo
👉Kwa uchaguzi huu, lawama sio Kwa Chama tawala Wala upinzani, lawama ni Kwa watanzania wenyewe, wao ndio wenye maamuzi kuhusu wanataka waongozwe aje na Kwa yanayoendela huku uchaguzini ni wazi wameridhika na Aina hii ya uongozi
👉 Namna pekee Chama tawala kitatoka madarakani ni through blood shed , kitu ambayo it will never happen? au usaliti wa watu wazito wenye maamuzi Ndani ya Chama hicho waamue kukiua wao wenyewe, something that won't happen
Nimengi nimeyaona yanatia aibu!!
Mfano; kupewa maelekezo Kwa vituo vyote ambavyo mgombea ni mmoja kuandaa matokeo mapema🤣🤣🤣
Tuishiiiiii!!!
Leo ni siku ya uchaguzi, na nimebahatika kushiriki!!
Kwa ufupi sana naomba nitoe my observations:
👉Hakukua na uchaguzi bali hitimisho la kalenda ya utaratibu kwamba kama taifa Huwa tuna uchaguzi wa serikali za mitaa kabla ya uchaguzi wa serikali kuu.
👉Wasiojua kusoma na kuandika katika taifa hili Bado niwengi sana na kama takwimu zikiwekwa hadharani basi itashangaza sana (maana yake ujinga Bado nimwingi sana nchini kwetu) na hawa ndio wamejitokeza kujiandikisha na kupigwa kura Kwa wingi
👉Vyama vya upinzani havikujiandaa na uchaguzi huu wa maonyesho, either nawao ni part ya maonyesho haya au nivyama visivyo jielewa vina Fanya kazi gani
👉Chama tawala Kwa sasa kinatumia vyombo vya ulinzi na usalama, na watumishi wa umma kuahakikisha kinaendelea kubaki madarakani na Kwa jinsi ilivyo kitaendela kuwepo Kwa 100 years tena as long as Dunia na nchi inaitwa tanzania itaendela kuwepo
👉Kwa uchaguzi huu, lawama sio Kwa Chama tawala Wala upinzani, lawama ni Kwa watanzania wenyewe, wao ndio wenye maamuzi kuhusu wanataka waongozwe aje na Kwa yanayoendela huku uchaguzini ni wazi wameridhika na Aina hii ya uongozi
👉 Namna pekee Chama tawala kitatoka madarakani ni through blood shed , kitu ambayo it will never happen? au usaliti wa watu wazito wenye maamuzi Ndani ya Chama hicho waamue kukiua wao wenyewe, something that won't happen
Nimengi nimeyaona yanatia aibu!!
Mfano; kupewa maelekezo Kwa vituo vyote ambavyo mgombea ni mmoja kuandaa matokeo mapema🤣🤣🤣
Tuishiiiiii!!!