Mtego kwa Nchi za Kiafrika

Mtego kwa Nchi za Kiafrika

mipango99

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2022
Posts
623
Reaction score
903
Naam kutokana nahizi vita vina vyo endelea duniani. Russia na Ukraine na mashariki ya kati kama Israeli na Palestine mixer Iran china Taiwan nk

Hawa ngozi nyeupe wakishachapana wakakaa sawa
Watataka kumalizia HASIRA zao kwanchi zakiAfrica. Hapo ndipo tutapo jua utamu wa vita lazima watupitishe kwenye Hilo jeramba.

Minishajipanga huko kijijini ndani ndani Nina handaki langu naendelea kuliboresha. Ili vita vikigeuziwa kwetu nipate pakujificha nyie mlizaliwa mjini mtajua pakujificha simnajiita bon here here. Mjiandae maana wakoloni wasasahv Wana HASIRA kuliko za mababu zao
 
Afrika kwa sasa imetulia ukiacha sudan na congo mashariki. Ngozi nyeupe wakimaliza kunyukana watataka mnyukano utokee afrika tena. Waafrika wanyukane kwa silaha mpya za kisasa zilizotengenezwa na weupe. Ni hatari, afrika iwe macho
 
Afrika kwa sasa imetulia ukiacha sudan na congo mashariki. Ngozi nyeupe wakimaliza kunyukana watataka mnyukano utokee afrika tena. Waafrika wanyukane kwa silaha mpya za kisasa zilizotengenezwa na weupe. Ni hatari, afrika iwe macho
Yaa ndo maana nishaa andaa..pango langu huko kijijini ndani ndani kikinuka tu..naamsha
 
Back
Top Bottom