Watauziana wenyewe kwa wenyewe hukusisi tukipokea kichapoHaafu bidhaa zao wamuuzie nani?π
Hiyo "AFRICAN COUNTRY" ndio naisikia leo mkuu. π
Countries.... etcHiyo "AFRICAN COUNTRY" ndio naisikia leo mkuu. π
Sawa mkuu, nilikuwa nakutania tu! Tuko pamoja. ππΎCountries.... etc
Yaa ndo maana nishaa andaa..pango langu huko kijijini ndani ndani kikinuka tu..naamshaAfrika kwa sasa imetulia ukiacha sudan na congo mashariki. Ngozi nyeupe wakimaliza kunyukana watataka mnyukano utokee afrika tena. Waafrika wanyukane kwa silaha mpya za kisasa zilizotengenezwa na weupe. Ni hatari, afrika iwe macho