Mtego wa mfanyakazi wa kike kwa mfanyakazi mwenzie mwanamme safarini

Siyo nge anamaana mdada angeenda kuwataarifu wahudumu wa reception kuwa chumbani kwake kuna nge na wala sii kwa mkaka eeh

na hata nge angeenda reception bana..kwa nini anasumbua watu wamungu wamepumzika baada ya kuchoshwa na semina elekezi mchana kutwa
 
asante dia kwa hiyo breakfast,mmmmh mbona leo mapema sana!jana usiku ulipiga desh nini?nimependa hapo kwenye red: moyo wangu umefarijika na nadhani hata chai leo sio lazima tena, nimeshiba kwa hiyo kauli yako tu!!!!

ok
so ushapata heavy breakfast haina haja ya lunch ennh?
jana nilipiga desh jaman mwenzako asi unajua tena..katikati ya mwez huu na mimi ndo nmekaukiwa kauuuuuuuuu..so desh kwa kswenda mbele tu..nimemla uyu samak ndo bas tena mpaka keshoooo
 
ok
so ushapata heavy breakfast haina haja ya lunch ennh?
jana nilipiga desh jaman mwenzako asi unajua tena..katikati ya mwez huu na mimi ndo nmekaukiwa kauuuuuuuuu..so desh kwa kswenda mbele tu..nimemla uyu samak ndo bas tena mpaka keshoooo

usijali, ukiishiwa sema!si unajua kukopeshana napo kupo!Ntakukopesha dia, Ila kwenye malipo lazima tutengeneze terms of reference!!!!!
 
Walikodi vyumba viwili na Guest house zote zilikuwa zimejaa, sasa aende reception kufanya nini? lakini inawezekana jamaa anajutia kukosa chance,,,,,,,:israel:
 

Sasa huyo jamaa alitaka apewe nini , aagh! mijamaa mingine inauzi cjuisindano... kula kitu hamna jingine hapo bwanyenye wewe, kwani dadaake huyo bwana , hao waliogopana- refer topic BODY LANGUAGE
 
Huyo jamaa yako atajutia hiyo nafasi aliyopata mpaka kufa, nina uzoefu mmoja kuwa kadri mnavyoheshimiana na demu ndo hisia zake za kimapenzi kwako zinapokuwa kubwa. Kwa sababu anakuona kuwa ni mtu mstaarabu na unayeheshimu wengine, tatizo linakuja kwenye kukuambia sasa. kwa hivyo jamaa ajue kuwa demu alikuwa anamfikishia ujumbe kwa staili ile. Tena asishangae huyo demu akianza kumuonesha dharau baada ya hilo tukio, kwa sababu atahisi kuwa jamaa si mzima.. ndiyo zao hawa, akijilengesha we mchape ili kulinda heshima yako!
 


Ilikuwaje msibadilishane vyumba, wewe ulale kwenye chumba mfanyakazi mwenzio alichokiogopa?

Nataka sitaki.
 

...aaaah babalao hayo ya kama alikuwa anamtaka yametokea wapi tena?
si alishajielezea anaogopa nge?
Huyo kaka angemuachia chumba yeye akalale kwa 'nge!'
au naye aliogopa?
 
...aaaah babalao hayo ya kama alikuwa anamtaka yametokea wapi tena?
si alishajielezea anaogopa nge?
Huyo kaka angemuachia chumba yeye akalale kwa 'nge!'
au naye aliogopa?

Alijua nge maana yake nini na ndio maana hakwenda akabaki
 
Kweli kijana ulikuwa kama Yusuph wale ndugu zetu wakristo wanamjua.Kama hiyo story hujai edit
 

Mwambie huyo rafiki yako ni mdwanzi, hivi alitaka aambiwe vipi... hivi huyo nae anaweza jiita mwanaume? Kuna mambo mengine unaambiwa kikubwa, nawe unamaliza, huyo dada atamdharau sana, na kwasasa wala asijaribu tena kumfuatilia, labda dada mwenyewe amwanze manake anaweza kumdhalilisha..
Ameniudhi sana, hii ndio mijitu inatutia aibu wanaume wa shoka haswa wa Kiafrika... i mean real African Dongos!!:A S angry:
 
Mbona solution ilikuwa rahisi tu - ku-swap vyumba!
 

Kama jamaa hakumshughulikia huyo dada, amefanya jambo la maana sana kwa sababu ameepuka mambo mengi - magonjwa, kujidhalilisha, dhambi. Huyo dada kama ana hamu muda mwingi aende Ohio mida ya usiku. Wanaume wote wa shoka ninao wafahamu hawakuacha kitu na tayari wako chini ya ardhi!!!!!
 
Asante jambo hili halikuendelea maisha yaliendelea kama kawaida na waliendelea kuheshimiana
 







La Aziz almanusra leo tutoke ngoma droo.
 
sasa huo ndio uchoyo sasa kwani huyo dada ameolewa. hujasema kama wewe umeoa au huyo dada ni mke wa mtu, kama wote hamko ndani ya ndoa mhhhhhhhhhhhhhhhh, mwanzo mzuri inawezekana mngeenda next level
 
Yule kaka alikuwa ameoa dada alikuwa single
 

Hapo umepatia Mkuu, kuna uwezekano wote wawili walikuwa na mawazo yanayohitaji msasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…