Siyo nge anamaana mdada angeenda kuwataarifu wahudumu wa reception kuwa chumbani kwake kuna nge na wala sii kwa mkaka eeh
asante dia kwa hiyo breakfast,mmmmh mbona leo mapema sana!jana usiku ulipiga desh nini?nimependa hapo kwenye red: moyo wangu umefarijika na nadhani hata chai leo sio lazima tena, nimeshiba kwa hiyo kauli yako tu!!!!
ok
so ushapata heavy breakfast haina haja ya lunch ennh?
jana nilipiga desh jaman mwenzako asi unajua tena..katikati ya mwez huu na mimi ndo nmekaukiwa kauuuuuuuuu..so desh kwa kswenda mbele tu..nimemla uyu samak ndo bas tena mpaka keshoooo
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume alinisimulia kisa kimoja kilichomkuta aliposafiri kikazi na dada mmoja ambaye wanafanya naye kazi pamoja na wanaheshimiana sana kama ifuatavyo. Walikodi vyumba viwili na Guest house zote zilikuwa zimejaa. Ilipofika saa 4 usiku yule dada alipiga hodi kwenye chumba cha yule kaka akidai kuwa chumbani kwake kuna mdudu nge na anaogopa kulala kwenye chumba hicho. Yule kaka alijitahidi kumulika kwa tochi uvunguni mwa kitanda na kila mahali ili amuue yule nge lakini hakuonekana. Baada ya hapo yule kaka alimshauri yule dada ahamie chumbani kwake kwa kuwa kitanda kilikuwa kimoja walikubaliana kulala mzungu wa nne yaani kila mmoja akilala kichwa kimoja kywenye mchago na kingine kwenya tendegu ili kukwepa kupata kishawishi. Yule kaka alipata shida sana lakini alimudu mtihani kwa kujizuia na tamaa ya mwili, alifikiri mambo mengi kwamba yawezekana ni mtego wa yule dada kutaka kumpima au pengine huenda alikuwana nia mbaya kama angeshindwa kuvumilia amwingize kwenye kesi ya kubaka. Wana JF naomba mchango wenu Jee yule dada alikuwa na lengo gani kwa huyo kaka, kwani kama alikuwa anampenda au anamtaka si angemueleza kuliko kumtia majaribuni? Karibuni mwenye hoja atoe hoja yake kwani swala hili bado lina mtesa yule rafiki yangu.
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume alinisimulia kisa kimoja kilichomkuta aliposafiri kikazi na dada mmoja ambaye wanafanya naye kazi pamoja na wanaheshimiana sana kama ifuatavyo. Walikodi vyumba viwili na Guest house zote zilikuwa zimejaa. Ilipofika saa 4 usiku yule dada alipiga hodi kwenye chumba cha yule kaka akidai kuwa chumbani kwake kuna mdudu nge na anaogopa kulala kwenye chumba hicho. Yule kaka alijitahidi kumulika kwa tochi uvunguni mwa kitanda na kila mahali ili amuue yule nge lakini hakuonekana. Baada ya hapo yule kaka alimshauri yule dada ahamie chumbani kwake kwa kuwa kitanda kilikuwa kimoja walikubaliana kulala mzungu wa nne yaani kila mmoja akilala kichwa kimoja kywenye mchago na kingine kwenya tendegu ili kukwepa kupata kishawishi. Yule kaka alipata shida sana lakini alimudu mtihani kwa kujizuia na tamaa ya mwili, alifikiri mambo mengi kwamba yawezekana ni mtego wa yule dada kutaka kumpima au pengine huenda alikuwana nia mbaya kama angeshindwa kuvumilia amwingize kwenye kesi ya kubaka. Wana JF naomba mchango wenu Jee yule dada alikuwa na lengo gani kwa huyo kaka, kwani kama alikuwa anampenda au anamtaka si angemueleza kuliko kumtia majaribuni? Karibuni mwenye hoja atoe hoja yake kwani swala hili bado lina mtesa yule rafiki yangu.
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume alinisimulia kisa kimoja kilichomkuta aliposafiri kikazi na dada mmoja ambaye wanafanya naye kazi pamoja na wanaheshimiana sana kama ifuatavyo. Walikodi vyumba viwili na Guest house zote zilikuwa zimejaa. Ilipofika saa 4 usiku yule dada alipiga hodi kwenye chumba cha yule kaka akidai kuwa chumbani kwake kuna mdudu nge na anaogopa kulala kwenye chumba hicho. Yule kaka alijitahidi kumulika kwa tochi uvunguni mwa kitanda na kila mahali ili amuue yule nge lakini hakuonekana. Baada ya hapo yule kaka alimshauri yule dada ahamie chumbani kwake kwa kuwa kitanda kilikuwa kimoja walikubaliana kulala mzungu wa nne yaani kila mmoja akilala kichwa kimoja kywenye mchago na kingine kwenya tendegu ili kukwepa kupata kishawishi. Yule kaka alipata shida sana lakini alimudu mtihani kwa kujizuia na tamaa ya mwili, alifikiri mambo mengi kwamba yawezekana ni mtego wa yule dada kutaka kumpima au pengine huenda alikuwana nia mbaya kama angeshindwa kuvumilia amwingize kwenye kesi ya kubaka. Wana JF naomba mchango wenu Jee yule dada alikuwa na lengo gani kwa huyo kaka, kwani kama alikuwa anampenda au anamtaka si angemueleza kuliko kumtia majaribuni? Karibuni mwenye hoja atoe hoja yake kwani swala hili bado lina mtesa yule rafiki yangu.
...aaaah babalao hayo ya kama alikuwa anamtaka yametokea wapi tena?
si alishajielezea anaogopa nge?
Huyo kaka angemuachia chumba yeye akalale kwa 'nge!'
au naye aliogopa?
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume alinisimulia kisa kimoja kilichomkuta aliposafiri kikazi na dada mmoja ambaye wanafanya naye kazi pamoja na wanaheshimiana sana kama ifuatavyo. Walikodi vyumba viwili na Guest house zote zilikuwa zimejaa. Ilipofika saa 4 usiku yule dada alipiga hodi kwenye chumba cha yule kaka akidai kuwa chumbani kwake kuna mdudu nge na anaogopa kulala kwenye chumba hicho. Yule kaka alijitahidi kumulika kwa tochi uvunguni mwa kitanda na kila mahali ili amuue yule nge lakini hakuonekana. Baada ya hapo yule kaka alimshauri yule dada ahamie chumbani kwake kwa kuwa kitanda kilikuwa kimoja walikubaliana kulala mzungu wa nne yaani kila mmoja akilala kichwa kimoja kywenye mchago na kingine kwenya tendegu ili kukwepa kupata kishawishi. Yule kaka alipata shida sana lakini alimudu mtihani kwa kujizuia na tamaa ya mwili, alifikiri mambo mengi kwamba yawezekana ni mtego wa yule dada kutaka kumpima au pengine huenda alikuwana nia mbaya kama angeshindwa kuvumilia amwingize kwenye kesi ya kubaka. Wana JF naomba mchango wenu Jee yule dada alikuwa na lengo gani kwa huyo kaka, kwani kama alikuwa anampenda au anamtaka si angemueleza kuliko kumtia majaribuni? Karibuni mwenye hoja atoe hoja yake kwani swala hili bado lina mtesa yule rafiki yangu.
Mwambie huyo rafiki yako ni mdwanzi, hivi alitaka aambiwe vipi... hivi huyo nae anaweza jiita mwanaume? Kuna mambo mengine unaambiwa kikubwa, nawe unamaliza, huyo dada atamdharau sana, na kwasasa wala asijaribu tena kumfuatilia, labda dada mwenyewe amwanze manake anaweza kumdhalilisha..
Ameniudhi sana, hii ndio mijitu inatutia aibu wanaume wa shoka haswa wa Kiafrika... i mean real African Dongos!!:A S angry:
kwan we wadhan nani anaweza kuwa mtumwa wa shetan kat ya dada na kaka?
karibu chai babu leo samak wa kubanika +ndimu+pilipili na chaii swafi yenye tea masala ...karibu
nimekumiss jaman...nilipika mlenda juz wacha nkumbumbuke nkasema angejua nafanya nin apa angenichokoza...!!!
La Aziz almanusra leo tutoke ngoma droo.
hao wote walitegana na wote wakashinda vishawishi kwani kama chumba kina nge na huyo mkaka aliona nge hayupo angeenda kulala yeye kule kwenye nge na kumwachia binti chumba chake au la wangetoa taarifa kwa uongozi wa hotel au angesgusha net nge asingeingia kwenye net