Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

Bratherkaka

Senior Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
101
Reaction score
10
Habari,

Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi.

Wakati wakushuka konda anaomba hela ya kulipisha mzigo. Sijui jinsi ya kuweza kutatua hili tatizo, nimejaribu kuwapigia simu yao wanajibu sawa sawa tutaongea naye.. nimekuwa very dispointed sana.

Ni lini na sisi tutakuwa na utaribu ambao unaeleka kwenye Public service zetu na kuwa na sehemu ambayo unaweza toa malamiko yako unasikilizwa hata. sizani kama tunataji miujiza kwenye mabadiliko ni sisi wenyewe kuwa na commited na kujifunza kutoka kwenye makosa.

Huduma zetu za public zinazo tolewa lazima ziwe zina mahali tunapima kama zinalingana na ghrama zake.

Najua linaweza kuwa jambo dogo kutoa hela tu but kuwe na standard lazima tuwe nayo.

Asante.
 
Mzigo wako ulikuwa na uzito gani?

Kuna kiwango cha uzito lazima ulipie. Kama ni begi tu la kawaida hulipii. Sasa wewe una mabegi sita na vipeto vinne kwanini usipande Fuso tu.
 
Mzigo wako ulikuwa na uzito gani?

Kuna kiwango cha uzito lazima ulipie. Kama ni begi tu la kawaida hulipii. Sasa wewe una mabegi sita na vipeto vinne kwanini usipande Fuso tu.
Najua mzigo unalipia, but analipa wakati wa kushuka au wakupanda? na konda ndo anajua mzigo.?
 
Najua mzigo unalipia, but analipa wakati wa kushuka au wakupanda? na konda ndo anajua mzigo.?
Vyovyote vile lazima ulipie iwe wakati wa kupanda au kushuka.

Konda ndio boss wa mizigo yote lazima aijue.
 
Bus hata nauli unatakiwa lipa wakati wakushuka, ma worry is. Wakati unapanda kuwe na utaratibu wa kupima mzigo. Kwenye ticket yako inasema kabisa nauli umelipa kiasi hizi uko na mzigo wa uzito huu na gharama yake ni hii.

Me ninda risiti ya mzigo. Alipo dai pesa.

Shida sio kulipia au kuto lipa ..je utaribu wetu ni upi je konda ndo anachukua pesa za mizigo au office. Vyote vile ni sawa but lazima tuwe na utaratibu.
 
Kama una suitcase yako moja na bergi la laptop sidhani Kama utachajiwa mizigo.
Kama una viroba vya maharage, shangazi kaja tatu, mabegi sita Kama vile unahama tegemea kulipia mzigo kwani Ile boot sio kwa ajili yako peke yako.
By the way Kuna watoa huduma ya kudafirisha mizigo toka TANGA kwenda Arusha. Tumia huduma yao. Mabasi Ni magari ya abiria
 
Kama una suitcase yako moja na bergi la laptop sidhani Kama utachajiwa mizigo.
Kama una viroba vya maharage, shangazi kaja tatu, mabegi sita Kama vile unahama tegemea kulipia mzigo kwani Ile boot sio kwa ajili yako peke yako.
By the way Kuna watoa huduma ya kudafirisha mizigo toka TANGA kwenda Arusha. Tumia huduma yao. Mabasi Ni magari ya abiria
Tusimlaumu konda kumbe jamaa alikuwa na vipeto kama nane hivi, bila kusahau tenga la kuku wa kienyeji kkkk
 
Habari,

Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi.
Mhhhh! Kwa mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yako ya kusafiri na mabasi!! Wakati wote huo ulikuwa unatumia usafiri gani?

Malori, private, baiskeli, treni, meli/boti/mashua au ndege? Halafu sijaona hoja yenye mashiko kuhusu malalamiko yako. Maana huo ni utaratibu wao tu walio jiwekea. Hivyo unatakiwa kuishi kulingana na mazingira, na siyo mazoea.
 
Mzigo wowote kwenye basi unalipiwa wakati wa kupanda na unapewa risiti yako ukiona mpk mzigo unapakiwa kwenye buti na hujachajiwa pesa ujue ni bure hupaswi kulipa.
 
Mzigo wowote kwenye basi unalipiwa wakati wa kupanda na unapewa risiti yako ukiona mpk mzigo unapakiwa kwenye buti na hujachajiwa pesa ujue ni bure hupaswi kulipa.
At least you get the point.
 
Habari,

Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi.

Wakati wakushuka konda anaomba hela ya kulipisha mzigo. Sijui jinsi ya kuweza kutatua hili tatizo, nimejaribu kuwapigia simu yao wanajibu sawa sawa tutaongea naye.. nimekuwa very dispointed sana.

Ni lini na sisi tutakuwa na utaribu ambao unaeleka kwenye Public service zetu na kuwa na sehemu ambayo unaweza toa malamiko yako unasikilizwa hata. sizani kama tunataji miujiza kwenye mabadiliko ni sisi wenyewe kuwa na commited na kujifunza kutoka kwenye makosa.

Huduma zetu za public zinazo tolewa lazima ziwe zina mahali tunapima kama zinalingana na ghrama zake.

Najua linaweza kuwa jambo dogo kutoa hela tu but kuwe na standard lazima tuwe nayo.

Asante.
Naww naye Unapanda mtei wakati Raqueeb mabasi mazuri Tanga to Arusha
 
Ni lini na sisi tutakuwa na utaribu ambao unaeleka kwenye Public service zetu na kuwa na sehemu ambayo unaweza toa malamiko yako unasikilizwa hata. sizani kama tunataji miujiza kwenye mabadiliko ni sisi wenyewe kuwa na commited na kujifunza kutoka kwenye makosa.

Huduma zetu za public zinazo tolewa lazima ziwe zina mahali tunapima kama zinalingana na ghrama zake.
Kuna uzito kama sijakosea kilo 20 hutakiwi kutozwa fedha, ikizidi kilo moja ndiyo hiyo inatakiwa kutozwa
 
Back
Top Bottom