Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Tuko Kijiweni muda huu hapa maskani
Kuna chaji ya simu ipo hapa mezani Ina rangi nyeupe tena ya gharama kubwa imeachwa na mteja mmoja aliyekuja mapema leo asubuhi
Hatujui kaisahau kwa bahati mbaya au la na pia hakuna amjuaye mtu huyu anatokea wapi
Waliomuona asubuhi wanasema ni mtulivu , alikunywa kikombe kimoja tu, hakuwa na stori na yeyote na alivaa mavazi ya Heshima yasiyo ya Kiserikali
Bado tunatafakari tuchukue hatua gani na hivyo tumeona ni hekima kuomba mtushauri Ndugu zetu wa JF
Chaji hiyo nyeupe bado ipo mezani na hakuna aliyeigusa
Tuko Kijiweni muda huu hapa maskani
Kuna chaji ya simu ipo hapa mezani Ina rangi nyeupe tena ya gharama kubwa imeachwa na mteja mmoja aliyekuja mapema leo asubuhi
Hatujui kaisahau kwa bahati mbaya au la na pia hakuna amjuaye mtu huyu anatokea wapi
Waliomuona asubuhi wanasema ni mtulivu , alikunywa kikombe kimoja tu, hakuwa na stori na yeyote na alivaa mavazi ya Heshima yasiyo ya Kiserikali
Bado tunatafakari tuchukue hatua gani na hivyo tumeona ni hekima kuomba mtushauri Ndugu zetu wa JF
Chaji hiyo nyeupe bado ipo mezani na hakuna aliyeigusa