Mteja wa haraka - escudo new model inauzwa

Mteja wa haraka - escudo new model inauzwa

Mgombezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
610
Reaction score
181
Wana JF

Nimedokezwa jioni hii kuna ESCUDO NEW MODEL (2002) inauzwa kwa bei nzuri - Tsh 12,500,000/=, kutokana na mmiliki wake kutaka kusafiri nje ya nchi siku ya jumapili (27/2/11).
 
Wana JF

Nimedokezwa jioni hii kuna ESCUDO NEW MODEL (2002) inauzwa kwa bei nzuri - Tsh 12,500,000/=, kutokana na mmiliki wake kutaka kusafiri nje ya nchi siku ya jumapili (27/2/11).

Bahati zingine...ningekuwa mjini dar ningesha ivuta..bei chee sana.
 
Ikiwezekana weka picha tuone at least hali ya hiyo gari maana model si tatizo na inawezekana kaifuja na hailingani na bei hiyo aliyoitaja.
 
Nitadondosha picha muda si mrefu, bali iko kwenye good condition yaani haijatumika since imekuja. Jamaa ni mfanyabiashara wa magari, sasa muda wake wa kwenda JAPAN umefika na hiyo bado haijatoka.
 
Bahati zingine...ningekuwa mjini dar ningesha ivuta..bei chee sana.

Umejuaje kama ni bei chee, wabongo bwana!! hivi unajua hata ingekuwa ya mwaka 2011 inawezekana isiwe bei chee kutokana na tathimini za kiufundi. Mimi mpaka niione alafu nimuite mtaalamu then nitajua kama ni bei chee au la!
 
Umejuaje kama ni bei chee, wabongo bwana!! hivi unajua hata ingekuwa ya mwaka 2011 inawezekana isiwe bei chee kutokana na tathimini za kiufundi. Mimi mpaka niione alafu nimuite mtaalamu then nitajua kama ni bei chee au la!

Fundi nae akikuingiza chaka...kama imetoka imeshakachuliwa...toka awali..so take my view ni kwamba kama na fundi ameshacheck..na kwa bei hiyo....then is chee...unalaumu tu...mie na compare na ukiitoa uko na usumbufu wote..huna mtu TRA...Energy unayotumia na muda mpaka inafika ni chee...So sio kunilaumu...pengine mie ni fundi who knows...ndio maana nimesema ni chee..au mie ndiye niliye weka hilo tangazo...kwa ID ingine!!
 
toa details za kutosha kama,
Odometer,CC ngapi, transmission, 3D au 5D, imeshushwa engine mara napi? Tairi kipara au kashata zipo.
Halafu uweke na picha halisi za hiyo gari.
 
Wadau; kama nilivyoelezwa hapo awali kwamba "Nimedokezwa", sasa ilinibidi nifuatilie kwa karibu taarifa hii na kupata some photos.

Aliyrnitaarifu mwanzao ali-confuse kwenye mwaka, gari hii ni ya mwaka 1997.

Ambili: Odometer = 159845, CC = 1990, transmission = automatic, haijashushwa machine (haijawahi kutumika bongo), tairi safi.

Nafikiri baadhi ya picha nilizozipata zinaweza kujibu maswali mengi.

NB: Gari hili lipo Zanzibar.

gari hizi ziko mbili zinazofanana, nyingine ina CC 1590
 

Attachments

  • CIMG1608.JPG
    CIMG1608.JPG
    396.8 KB · Views: 91
  • CIMG1606.JPG
    CIMG1606.JPG
    336.3 KB · Views: 77
  • CIMG1610.JPG
    CIMG1610.JPG
    216.4 KB · Views: 74
  • CIMG1612.JPG
    CIMG1612.JPG
    278.4 KB · Views: 76
  • CIMG1609.JPG
    CIMG1609.JPG
    309.3 KB · Views: 77
  • CIMG1614.JPG
    CIMG1614.JPG
    332.4 KB · Views: 73
  • CIMG1611.JPG
    CIMG1611.JPG
    327.7 KB · Views: 65
  • CIMG1605.JPG
    CIMG1605.JPG
    236.5 KB · Views: 63
  • CIMG1613.JPG
    CIMG1613.JPG
    286.3 KB · Views: 77
Wadau; kama nilivyoelezwa hapo awali kwamba "Nimedokezwa", sasa ilinibidi nifuatilie kwa karibu taarifa hii na kupata some photos.

Aliyrnitaarifu mwanzao ali-confuse kwenye mwaka, gari hii ni ya mwaka 1997.

Ambili: Odometer = 159845, CC = 1990, transmission = automatic, haijashushwa machine (haijawahi kutumika bongo), tairi safi.

Nafikiri baadhi ya picha nilizozipata zinaweza kujibu maswali mengi.

NB: Gari hili lipo Zanzibar.

gari hizi ziko mbili zinazofanana, nyingine ina CC 1590

Picha na 'details' tumeziona so ni PM nimpigie fundi mmoja pale zenj aione-but it really worthy 6M na 1.3M ya wasumbufu TRA(in case ikivuka maji) tu siyo 12M kama anavyotaka/mnavyotaka. Otherwise usigeuze jukwaa hili kuwa la matangazo!
 
Mkuu, nimeku-PM unaweza kunipigia kwa mawasiliano zaidi.
 
Bahati zingine...ningekuwa mjini dar ningesha ivuta..bei chee sana.


Dah kweli maisha bora kwa kila mtanzania. Wakati wengine wanapigania kupata mlo mmoja,wewe mkuu unaona milioni 12 ni bei chee a.k.a poa!
 
Wadau; kama nilivyoelezwa hapo awali kwamba "Nimedokezwa", sasa ilinibidi nifuatilie kwa karibu taarifa hii na kupata some photos.

Aliyrnitaarifu mwanzao ali-confuse kwenye mwaka, gari hii ni ya mwaka 1997.

Ambili: Odometer = 159845, CC = 1990, transmission = automatic, haijashushwa machine (haijawahi kutumika bongo), tairi safi.

Nafikiri baadhi ya picha nilizozipata zinaweza kujibu maswali mengi.

NB: Gari hili lipo Zanzibar.

gari hizi ziko mbili zinazofanana, nyingine ina CC 1590

Labda 8m/=.....ODO 159,000? Halafu hizi zi zile za kuibiwa parts na vibaka kila uchwao?
 
kwa hiyo gari ya mwaka 1997 kwa milion 12 hapana,mmh
 
Hiyo saizi yake m6 hv bana. Kama vipi niishukie. NiPM tuongee biasahara
 
We gari ya MWaka 1997 ukiagiza Japan hata 10m haifiki. Suzuki Japani bei rahisi mno. Hiyo 12.5m unaweza kupata Harrie au Lexus kabisa
 
Back
Top Bottom