Mteja wa maziwa fresh anahitajika kuanzia Lt 10-50

mbano

Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
46
Reaction score
21
Habari zenu wana JF.
Mie naishi Dar Mbezi.ni mfugaji mvuri wa ngombe wa kisasa.
natafuta mteja wa kuumuuzia maziwa fresh kila siku nina uwezo wa kusupply kuanzia Lt 40 kwa siku.
kama utapenda tufanye biashara tafadhali wasiliana na mie kupitia namba hii 0717-706259
 
ungetueleza na ubora wa hayo maziwa sio useme tu lita arobaini tunapaswa tujue ubora wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…