Regina,
Ngangamala hasa na hawa Vibaka wa Demokrasia maana Wenje angelala, ingekula kwake.
Nategemea Lisu atakuwa huko kwako maana nimepata habari kuwa Marando atatua Kigoma muda wowote.
Wanasheria wa Chadema na wengine watakaotaka kusaidia Demokrasia, kazi kwenu.
NGO zinazotetea wanawake, msimtupe mwenzenu jamani. Pia NGO za kila aina, msaada wenu wahitajika.
Atetewe au asaidiwe? kama mwanamke au kama mgombea. Kama issue ni uanamke hata viti maalum vipo!
mkuu atasainije wakati anauhakika ni mshindi?idadi ya wapiga kura walioandikishwa ilikuwa 211276 na idadi halisi ya waliopiga kura 88834 na kura halali zilikuwa 86574 na kura zilizokataliwa ni 2260.
Kikwete (ccm) 53386, rungwe hashim (nccr-mageuzi) 162, peter mziray (appt-maendeleo) 869, wilbroad slaa (chadema) 27721 , yahmi dovutwa (updp), ibrahim lipumba (cuf) 4200, mutamwega mgwaya(tlp) 117.
Matokeo ya ubunge
abdul mteketa(ccm)43459 regia mtema (chadema)38550, zainabu himili(4469), abdu mnola(updp)299.
Idadi ya walioandikishwa ilikuwa 211276,idadi halisi ya wapiga kura 88942,kura halali ni 86777 na kura zilizokataliwa ni 2165.
Hakukuwa na fujo ya aina yoyote ila regia mtema wa chadema amegoma kusaini fomu za matokeo.
Idadi ya wapiga kura walioandikishwa ilikuwa 211276 na idadi halisi ya waliopiga kura 88834 na kura halali zilikuwa 86574 na kura zilizokataliwa ni 2260.
KIKWETE (CCM) 53386, RUNGWE HASHIM (NCCR-MAGEUZI) 162, PETER MZIRAY (APPT-MAENDELEO) 869, WILBROAD SLAA (CHADEMA) 27721 , Yahmi Dovutwa (UPDP), Ibrahim Lipumba (CUF) 4200, Mutamwega Mgwaya(TLP) 117.
Matokeo ya Ubunge
Abdul Mteketa(CCM)43459 REGIA MTEMA (Chadema)38550, Zainabu Himili(4469), Abdu Mnola(UPDP)299.
Idadi ya walioandikishwa ilikuwa 211276,idadi halisi ya wapiga kura 88942,kura halali ni 86777 na kura zilizokataliwa ni 2165.
Hakukuwa na fujo ya aina yoyote ila REGIA MTEMA wa Chadema amegoma kusaini fomu za matokeo.
Kuna kitu sielewi hapa. Equation gani inatumika? Mbona havi-tally? Regia hesabu zimewapiga chenga nyie wote hapo kituoni?
sio kweli CHADEMA NDO WAMESHINDAMATOKEO YAMETANGAZWA MTEKETA KASHINDA CCM 40000+ CHADEMA 35000+:sad:
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
Kifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa.Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000,Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3000.Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43459,Mtema kura 38,550,CUF 4469 na UPDP 299.Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.
Pole sana kwa yanayokukuta, Mungu anaona. Hata hivyo, pamoja na kuchakachua, pamoja na kuonyesha kuwa umeshindwa, lakini mimi naona umeshinda kwa sababu kazi uliyoifanya ni kubwa na jasho ulilowatoa wenyewe wanajua kuwa wamekutana na chuma cha pua. Hongera sanaKifupi ni kwamba matokeo yamechakachuliwa. Matokeo halisi yalikuwa Abdu Mteketa-CCM Kura 42,000; Regia Mtema-CHADEMA Kura 43,200 CUF na UPDP Kura zao kwa pamoja hazizidi 3,000.
Kuna mambo mengi yaliyojitokeza lakini mwisho wa siku msimamizi wa uchaguzi amemtangaza bwana Mteketa kuwa mshindi kwa kura 43,459, Mtema kura 38,550, CUF 4,469 na UPDP 299.
Sijakubali matokeo na sasa ndio tunafanya utaratibu ili kufungua kesi.