ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar bwana Abbas Mtevu amewataka wajumbe wenye dhamana ya kupitisha wagombea wa Ubunge na udiwani kupitisha wagombea ambao wanakubalika Kwa Wananchi vinginevyo watawafyeka.
My Take
Naunga mkono hoja, kimsingi hapa Tanzania hakuna Wapinzani ila ukiona Wapinzani Wameshindwa ujue CCM ilipitisha mgombea ambae hakunaliki kisa wajumbe walivuta mpunga.
My Take
Naunga mkono hoja, kimsingi hapa Tanzania hakuna Wapinzani ila ukiona Wapinzani Wameshindwa ujue CCM ilipitisha mgombea ambae hakunaliki kisa wajumbe walivuta mpunga.