Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi imetoa hukumu katika Shauri la Jinai Na. CC. 72/2021 dhidi ya Florence Noel Malilo (Kaimu Afisa Mtendaji Kijiji cha Mapili, Halmashauri ya Wilaya Mlele).
Mshtakiwa alishtakiwa kwa makosa ya kuomba na kupokea rushwa ya shs. 200,000.
Katika kesi hiyo iliyosikilizwa na Hakimu Mkazi, Bilal Mohamed, mshtakiwa amekutwa na hatia na kuhukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Tsh. 1,000,000/= ambapo mshitakiwa amelipa faini na kuepuka kifungo.
Mshtakiwa alishtakiwa kwa makosa ya kuomba na kupokea rushwa ya shs. 200,000.
Katika kesi hiyo iliyosikilizwa na Hakimu Mkazi, Bilal Mohamed, mshtakiwa amekutwa na hatia na kuhukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Tsh. 1,000,000/= ambapo mshitakiwa amelipa faini na kuepuka kifungo.