B BabuMkubwa JF-Expert Member Joined Feb 11, 2017 Posts 2,417 Reaction score 3,590 Dec 6, 2023 #21 Kumbe kutoka kwenye posho ? Hiyo hela kidogo sana angefanya 50,000-100,000/=.
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Dec 6, 2023 #22 mshahara ni kipato halali anachopata mtu baada ya kufanya kazi halali, kipato hiki ni mali binafsi ya mtu hivyo si sahihi kupangiana namna ya kutumia pesa za mshahara usio wako
mshahara ni kipato halali anachopata mtu baada ya kufanya kazi halali, kipato hiki ni mali binafsi ya mtu hivyo si sahihi kupangiana namna ya kutumia pesa za mshahara usio wako