Mtengeneza nyimbo lamaar wa fish crab mh.............

Mtengeneza nyimbo lamaar wa fish crab mh.............

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2010
Posts
1,005
Reaction score
82
jamani me huyu mtengeneza nyimbo wa fish crab studio (producer) me naona kazidi kila nyimbo anayotengeneza lazima atokee kwenye video yake.sasa nini anajitangaza kwa njia hiyo au ndo ulimbukeni?me naona afuate nyayo za maproducer waliopo aliowakuta kwenye game.
 
jamani me huyu mtengeneza nyimbo wa fish crab studio (producer) me naona kazidi kila nyimbo anayotengeneza lazima atokee kwenye video yake.sasa nini anajitangaza kwa njia hiyo au ndo ulimbukeni?me naona afuate nyayo za maproducer waliopo aliowakuta kwenye game.
chuki binafsi mbona Dunga hukuwahi sema hapa
 
jamani me huyu mtengeneza nyimbo wa fish crab studio (producer) me naona kazidi kila nyimbo anayotengeneza lazima atokee kwenye video yake.sasa nini anajitangaza kwa njia hiyo au ndo ulimbukeni?me naona afuate nyayo za maproducer waliopo aliowakuta kwenye game.

Suge Knight, stop hating on Puffy.

East Coast......
 
Mwache kwani kunatatizo gani, mwache auze nyago
 
jamani me huyu mtengeneza nyimbo wa fish crab studio (producer) me naona kazidi kila nyimbo anayotengeneza lazima atokee kwenye video yake.sasa nini anajitangaza kwa njia hiyo au ndo ulimbukeni?me naona afuate nyayo za maproducer waliopo aliowakuta kwenye game.
vipi bana, mmenyimana nini?
 
kaka hata wewe fungua studio yako tu utokee...is simple mbona hata P.Diddy nyimbo kibao tu alizoproduce ameonekana?
 
Back
Top Bottom