Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Awamu hii Wateule hawatumbuliwi majukwaani Kama awamu ya 5; Kwa sasa
1. Unahamishwa/demotion
2. Unatumbuliwa/kupangiwa kazi nyingine (hewa).
Mifano ya waliokumbwa na dhahma hiyo,
I. Professor Mkuu Kalamaganda,
II. Dr Lukuvi,
III. Ditto James,
IV. Ngusa Samike
1. Unahamishwa/demotion
2. Unatumbuliwa/kupangiwa kazi nyingine (hewa).
Mifano ya waliokumbwa na dhahma hiyo,
I. Professor Mkuu Kalamaganda,
II. Dr Lukuvi,
III. Ditto James,
IV. Ngusa Samike