Makini Buz
Member
- Jan 13, 2015
- 21
- 9
Hapa inabidi tumwite mshana jr
Inawezekana ndio hawa Vijana wa bodaboda wanautusumbua huku mjini na matukio.Tuanzie hapo laki na nusu mwaka jana leo unamiliki duka la jumla?kwa biashara gani ulifanya?
Funguka hapo penye RED ulifanya nn hicho?Nimekuwa nikifuatilia post mbalimbali za member huyu Jf hasa jukwaa la Intelligence, amekuwa akipost elimu/uzi kuhusu mambo ya kiroho yaani vitu visivyoonekana. Hasa habari za majini nk.
Pia nakumbuka mwaka jana nilipost nikiomba ushauri wa kufungua biashara kwa mtaji wa laki150 alinishauri vizuri na akanitamkia kuwa ndani ya miezi6 nitakuwa juu kimafanikio na hadi sasa nimeweza kufungua duka la jumla na rejareja Same.
Hivyo napenda kumfahamu kama kuna mtu amewahi kukutana naye pia kuhusu mafundisho yake humu jukwaani huwa inanichanganya.
Tuanzie hapo laki na nusu mwaka jana leo unamiliki duka la jumla?kwa biashara gani ulifanya?
Funguka hapo penye RED ulifanya nn hicho?
hapa imenishtua paa!Mimi amenixaidia xana nilikuwa na tatizo la kuziba mirij ya uzazi akanifanyia kixomo na xaxa nina ujauzito. But kila nikijarib kutk kuonana naye nakwama.
Shukrani mkuu, nimekupataMkuu nimeshajibu hilo.
Kwa hiyo Mti wa Chuma ndio alikusaidia kupata mafanikio haya au ilikuwa Juhudi yako binafsi!???Mkuu nilifanya biasha ya kuku wa kienyeji nanunua kijijini napeleka mjini. Niliaza na mtetea 10 kwa sh6000 na kuuza sh12,000 na Jogoo8 kwa sh8000 na kuuza sh15,000-18,000. Ilifikia hatua nachukua hadi kuku 70.Nimezungusha mara 15 nikafungua duka Same kwa mtaji wa M5.
Kwa hiyo Mti wa Chuma ndio alikusaidia kupata mafanikio haya au ilikuwa Juhudi yako binafsi!???
za magendo zitakuwaTuanzie hapo laki na nusu mwaka jana leo unamiliki duka la jumla?kwa biashara gani ulifanya?
Mbona unaandika lugha za whatsapp hapa?Mimi amenixaidia xana nilikuwa na tatizo la kuziba mirij ya uzazi akanifanyia kixomo na xaxa nina ujauzito. But kila nikijarib kutk kuonana naye nakwama.