Mti wa Mubulabula dawa ya tezi dume

mzaula ndahani

Senior Member
Joined
Feb 20, 2015
Posts
138
Reaction score
20
Wanajamvi naomba kuufahamu mti huu.inasemekana magamba yake ni Tiba Kwa tezi Dume.Kwa anaye ufahamu mti huu atujuze na atuwekee picha
 
Inamaana madaktari wa mkulu hawaufahamu huo mti?

Si wangemwepushia kisu na kuokoa pesa zetu!!!!?
 
Wanajamvi naomba kuufahamu mti huu.inasemekana magamba yake ni Tiba Kwa tezi Dume.Kwa anaye ufahamu mti huu atujuze na atuwekee picha
Yaani hiyo tip yako imekuja too late, kwa kuwa tayari Taifa letu lishapoteza mamilioni mengi ya pesa za kigeni kwa kumpeleka mkulu kwenda 'kupasuliwa' tezi lake dume kule Marekani.

Kama hiyo clue ungeitoa angalau mwaka jana mwanzoni, tungekushikuru sana!
 
Sasa iyo dawa ya huo mti unameza kunywa au unasimika kwenye tigo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…