Uchaguzi 2020 Mtia nia Udiwani CCM adondosha kibuyu chenye dawa

Hawa akina Katambi mbona wachawi sana ! kuna mmoja alipewa cheo bila hata kufikiriwa , ila tunashukuru kajitumbua mwenyewe
 

Hii stori mbona kama imekaa kama vile ni ya kutunga tu? Anway suali muhimu hapa ni hili, jee kutumia uganga katika uchaguzi ni marufuku? Ikiwa si marufuku basi kwa nini askari wa mgambo walimzuia kuingiaukumbini?

Tuangalie suali hili kwa mtazamo huu:- kuna wagombea wanakwenda katika sehemu zao za ibada kuomba kwa wanaemuabudu wapate ushindi, si na hawa waabudu mizimu nao waachiwe wafanye maombi yao? Im just thinking out loud!
 
Huko ni kujibainisha kwa wenye chama chao kuwa sisi tunashinda kwa kutumia vibuyu, bila vibuyu tunazimwa kweupe.

Aibu sana kwa CCM maana huyo ni kiwakilishi tu kuwa hayo ndo wanayofanya chaguzi zote kuanzia udiwani/ubunge/urais.
 
Angebeba Rosary hapo sawa au Tasbihi.
Ila akibeba kibuyu anakatazwa. Waafrika tuna mawazo ya kushikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…