Sijajua Kwanini @Moderators Wameondoa Uzi wa Mwanzo, muwe munaweka na sababu za kuondoa Uzi
NBC Premier League leo Jumamosi. Baada ya kupita miaka zaidi ya 20, leo Mnyama Simba SC anarudi katika dimba la Manungu kucheza na Mtibwa Sugar, huku Kila upande ukitamba kuondoka na alama tatu.
Je ni Mtilwa Sugar au Simba SC kuondoka na alama tatu? majibu utayapata JF.
HEAD TO HEAD
Tokea mwaka 2016 Mtibwa sugar na simba wameshakutana mara 10, simba akishinda michezo 7 na sare 3, mtibwa hajawahi kumfunga Simba Sc tokea Mwaka 2016
UPDATE.
Katika ligi kuu Simba yupo nafasi ya pili akiwa na jumla ya alama 24 baada ya kucheza michezo 11, nyuma ya vinara wa ligi Young africans ambao wana alama 32 baada ya kucheza michezo 12.
Simba amecheza michezo 11, amepoteza mchezo mmoja, ametoa sare michezo 3 na ameshinda michezo 7
Mtibwa sugar Yupo nafasi ya 14, nafasi ya 3 toka mwisho akiwa amecheza michezo 12
UPDATE
Hali ya uwanja ilivyo kwa sasa ambako mechi itapigwa
Hali ilivyo katika Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro hadi saa 6 mchana.
Uwanja huo unategemewa kutumika leo katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar FC dhidi ya Simba SC, saaa 10:00 jioni.
Your browser is not able to display this video.
UPDATE
Hadi sasa saa 9 na dakika 05 vikosi bado havijatoka
KIKOSI CHA SIMBA
KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR
-Mpira umekwisha kuanza hapa Uwanja wa Manungu Morogoro.
- 3' Inonga anafanyiwa madhambi
-5' Mtibwa wamecha faulo 3 dhidi ya moja kwa simba
- 09' Kihimbwa anafanyiwa madhambi
-10' Ndemla anafanya shambulizi lakini Manula anaokoa vizuri
-12' Abraham anafanyiwa madhambi na Yuko chini akigangwa
-14' Kagere anacheza madhambi
-20' Mtibwa Sugar 0 Simba sc 0
-21' Mtibwa wanapata kona ya kwanza katika mchezo huu
-24' Mtibwa sugar wanapata kona
-27' Mtibwa Sugar offside
-30' Mtibwa Sugar 0 Simba Sc 0
- 31' Kado golokipa wa Mtibwa anakoa hapa na simba wanapata kona ya kwanza
-34' Mtibwa wanapata kona
-35' Mtibwa wanapiga kona ya 4
-40' Mtibwa Sugar 0 Simba Sc 0
- 41' Kadi ya njano anapewa George
-44' H. Dilunga anapiga shoot linaenda nje ya lango
- 45" Bila Bila
- Dakika 3 za Nyongeza kipindi cha kwanza
-Kipindi Cha kwanza kimemalizika Mtibwa Sugar 0 Simba sc 0
KIPINDI CHA PILI KIMEANZA
Mtibwa Sugar 0 Simba Sc 0
- Chama ameingia akichukua nafasi ya HD
- Morrison ameingia akicukua nafasi ya Mugalu
- 50' BILA BILA
-51' Simba wanapata kona
-53' Mtibwa Sugar wanapata Kona
-60' Simba wanapata free kick
-61' kipa anaokoa free kick ya chama na simba wanapata kona
-62' Mtibwa wanafanyiwa madhambi
-67' Gadiel Michael anafanyiwa madhambi na Banda ndani ya 18
-70' Simba 0 Mtibwa 0
-71' Mohamed Hussein Anaingia Kuchukua nafasi ya Gadiel Michael
-75' bila bila
-76' simba wanapata Kona 2
-77' Majogoro anaingia kwa upande wa mtibwa
-77' Chota george anaingia pia kwa upande wa mtibwa
-80' Bila Bila
-80 Golikipa wa Mtibwa anapata Kadi ya Njano
-83' anatoka mzamiru Yassin Anaingia Bocco, Kenedy Juma Anaingia kuchukua nafasi ya Inonga
-84' Mtibwa wanafanya mabadiliko anatoka kihimbwa anaingia kiziwa
Sijajua Kwanini @Moderators Wameondoa Uzi wa Mwanzo, muwe munaweka na sababu za kuondoa Uzi
NBC Premier League leo Jumamosi. Baada ya kupita miaka zaidi ya 20, leo Mnyama Simba SC anarudi katika dimba la Manungu kucheza na Mtibwa Sugar, huku Kila upande ukitamba kuondoka na alama tatu.
Je ni Mtilwa Sugar au Simba SC kuondoka na alama tatu? majibu utayapata JF.
Wewe unawahi kupost habari za Michezo lakini ukishaweka thread huweki updates. Unaweka thread kisha unakimbia ili watu waje wachangie. Hivyo unazui watu wanaoweka Update wasianzishe thread.
Hata hii kama hautaweka Updates za Mchezo, nitawaelekeza Moderator waifanyie kazi.
Wewe unawahi kupost habari za Michezo lakini ukishaweka thread huweki updates. Unaweka thread kisha unakimbia ili watu waje wachangie. Hivyo unazui watu wanaoweka Update wasianzishe thread.
Hata hii kama hautaweka Updates za Mchezo, nitawaelekeza Moderator waifanyie kazi.
Sijajua Kwanini @Moderators Wameondoa Uzi wa Mwanzo, muwe munaweka na sababu za kuondoa Uzi
NBC Premier League leo Jumamosi. Baada ya kupita miaka zaidi ya 20, leo Mnyama Simba SC anarudi katika dimba la Manungu kucheza na Mtibwa Sugar, huku Kila upande ukitamba kuondoka na alama tatu.
Je ni Mtilwa Sugar au Simba SC kuondoka na alama tatu? majibu utayapata JF.
HEAD TO HEAD
Tokea mwaka 2016 Mtibwa sugar na simba wameshakutana mara 10, simba akishinda michezo 7 na sare 3, mtibwa hajawahi kumfunga Simba Sc tokea Mwaka 2016
UPDATE.
Katika ligi kuu Simba yupo nafasi ya pili akiwa na jumla ya alama 24 baada ya kucheza michezo 11, nyuma ya vinara wa ligi Young africans ambao wana alama 32 baada ya kucheza michezo 12.
Simba amecheza michezo 11, amepoteza mchezo mmoja, ametoa sare michezo 2 na ameshinda michezo 8
Mtibwa sugar Yupo nafasi ya 14, nafasi ya 3 toka mwisho akiwa amecheza michezo 12
UPDATE
Hali ya uwanja ilivyo kwa sasa ambako mechi itapigwa
Hali ilivyo katika Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro hadi saa 6 mchana.
Uwanja huo unategemewa kutumika leo katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar FC dhidi ya Simba SC, saaa 10:00 jioni. View attachment 2091644