Mtibwa sugar tulihujumiwa na TFF

Mtibwa sugar tulihujumiwa na TFF

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Viongozi wa mtibwa wamedai kuwa baada ya kucheza Mechi yao Alhamis dhidi ya Dodoma jiji waliondoka Dodoma na kuelekea Iringa kama ratiba ilivyoelekeza lakini baadae walipokuwa Iringa walitumiwa barua ya kubadilishiwa uwanja na kuwa Azam Complex wa Dar
Hali iliyopelekea uchovu na hivyo mtibwa kushindwa kufanya vizuri na kupoteza kwa bao 2-1
 
Viongozi wa mtibwa wamedai kuwa baada ya kucheza Mechi yao Alhamis dhidi ya Dodoma jiji waliondoka Dodoma na kuelekea Iringa kama ratiba ilivyoelekeza lakini baadae walipokuwa Iringa walitumiwa barua ya kubadilishiwa uwanja na kuwa Azam complex wa dar
Hali iliyopelekea uchovu na hivyo mtibwa kushindwa kufanya vizuri na kupoteza kwa bao 2-1
Tff konyo sana
 
Viongozi wa mtibwa wamedai kuwa baada ya kucheza Mechi yao Alhamis dhidi ya Dodoma jiji waliondoka Dodoma na kuelekea Iringa kama ratiba ilivyoelekeza lakini baadae walipokuwa Iringa walitumiwa barua ya kubadilishiwa uwanja na kuwa Azam Complex wa Dar
Hali iliyopelekea uchovu na hivyo mtibwa kushindwa kufanya vizuri na kupoteza kwa bao 2-1
Hawa nao wameambukizwa huu ugonjwa wa Utopolo.
 
Huu ni ugonjwa wa ajabu sana ulioasisiwa na utopolo.

Utaona utopolo nao wametoa sare lakini ukiwauliza watasema TFF iliwaonea.

Mtibwa tangu wameanza ligi walikuwa na uchovu?
 
Back
Top Bottom