Mtifuano: Alikiba na Ruby kisa jina la mbwa mpya wa Alikiba

Mi ninachoona bifu liendele ili Ruby awe anasikikana kwa Media awe staa,kupitia Ali K.Kama ilivokuwa Ali ke kuupata Umaarufu kupitia Golden Voice&Sound of Africa(D.Platnumber one)
 
Ha ha ha, rubii unamlinda jamaa siyo?

Akiwepo unakubali eti moto uliwaka, akitoka tu unasema hakuja.

Nimeelewa unamlinda, ngoja niunde tume ya kimya kimya kulichunguza hili swala.

Teh teh..Sasa we unataka anisifie ili mabinti wapange foleni
 
kuna kajibwa kadume nmepewa na rafiki yangu hapa juzi nmefikiria jina nimwite KIBA mnaonaje mazee litamfaa? maana kanalia lia sana usiku tena ile auuuuuuu wooo wuuuuuuu!
 
Kipaji chenyewe hamna kazi mabifu tu diamond alishamfunika kitambo anahangaika na kibinti cha watu na single yake moja bwege sana kibakuli
 
Kiba nae pumbavu pia. Sijui ni kwanin hawezi ishi bila kiki za kiseng, alijua kabisa atawin public concern.

Useless.
Mbwa wa ISCO yule mchezaji wa real madrid anaitwa messi na alipohojiwa kwann alimuita hvyo alisema ni mjanja sana kama LIONEL MESSI wa barcelona awapo uwanjani. Leo messi hajawahi kununa wala kusikika akilalamika. Mnautaka uzungu halaf hamuuwezi c mbaki tu na uswahili wenu!!!! Mxiiiiii
 
Huku ni kulewa sifa,akifikia level zakina P square sijui itakuwaje
Mbwa wa ISCO yule mchezaji wa real madrid anaitwa messi na alipohojiwa kwann alimuita hvyo alisema ni mjanja sana kama LIONEL MESSI wa barcelona awapo uwanjani. Leo messi hajawahi kununa wala kusikika akilalamika. Mnautaka uzungu halaf hamuuwezi c mbaki tu na uswahili wenu!!!! Mxiiiiii
 
Sijawahi sikia mtu mjinga kama huyo dada anayelalamika...hilo ni jina maalum kwa ajili yake tu?kuna kina ruby wangapi...na kwa nini aone kama kaitwa yeye...
Kwa maono yangu hapo Ruby ni madini nadhani wa kulalama hapo ni Diamond
 
umetokea wapi ndugu, wenzako tushasahau hii habari
Nikuulize ww na chuki zako,eti ana nyimbo moja!!Inakuhusu!!??Rubi anajua kuimba,ana sauti nzuri na kipaji pia,so majungu,chuki zako peleka huko
 
Nikuulize ww na chuki zako,eti ana nyimbo moja!!Inakuhusu!!??Rubi anajua kuimba,ana sauti nzuri na kipaji pia,so majungu,chuki zako peleka huko
baada ya na yule wimbo wake upi mwingine unaosumbua mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…