GRAMAA JF-Expert Member Joined Nov 1, 2014 Posts 1,241 Reaction score 3,800 Jan 8, 2022 #1 Mgawanyiko mkali kati ya watu wa Lukuvi,Tulia,Mussa. Kila mtu anataka mtu wake awe spika wa bunge. Na kila kundi linaona mtu wake ndio anafaa kuwa spika. Musukuma kubebwa na PhD yake ili kuukwaa uspika. Ngoja tuone mwisho wa hii kitu.
Mgawanyiko mkali kati ya watu wa Lukuvi,Tulia,Mussa. Kila mtu anataka mtu wake awe spika wa bunge. Na kila kundi linaona mtu wake ndio anafaa kuwa spika. Musukuma kubebwa na PhD yake ili kuukwaa uspika. Ngoja tuone mwisho wa hii kitu.
issenye JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 3,788 Reaction score 5,217 Jan 8, 2022 #2 Huwa mnapata faida gani pale mnapoanzisha nyuzi za uzushi kama hizi?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 8, 2022 #3 Ngoja tuone...
Treaple N JF-Expert Member Joined Feb 11, 2021 Posts 224 Reaction score 510 Jan 8, 2022 #4 Wacha inyeshe tuone panapovuja
Fund man JF-Expert Member Joined Feb 24, 2021 Posts 3,629 Reaction score 4,831 Jan 9, 2022 #5 issenye said: Huwa mnapata faida gani pale mnapoanzisha nyuzi za uzushi kama hizi? Click to expand... ππππ
issenye said: Huwa mnapata faida gani pale mnapoanzisha nyuzi za uzushi kama hizi? Click to expand... ππππ