He,he,heh...naogopa mkuu,watu wa jinsia yenu si wemaUkuje kwa nyumba thiku moja nikupatie Dhawad katoto kadhuri
thi kweriHe,he,heh...naogopa mkuu,watu wa jinsia yenu si wema
Kuna Me humu ndani alisema ukiona Me anatumia athee,nithamee etc......sijui alimaliziaje huko mwisho asee[emoji124]Hakuna uchochez athee jaman
huyo bibi alitoka kutifua shamba lake la mihogo, hana uwezo wa kumpiga mtu panga.Mwanamke wa mkoani ni zaidi ya mwanaume wa das'lamView attachment 420935
kaoge katokea mkoa gani vile? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila kwa nin wanawake wa mikoani wanawashobokea watu wa Dar na pia Vijana wengi wa mikoani wanakuja Dar kutafuta.maisha wakikosa kazi hapo tunapata vibaka Mateja Mashoga? mfano huyu Kaoge ni wa Mkoani huko kanda ziwa
Wanaume Wa mkoa ..wakija Dar na ushamba Wa kushangaa maisha ya town...wanashtukia wanapigwa mti kwanza mpaka wanapojanjaruka....halafu wakija humu mtandaoni wanaanza kusumbua...wasenge wengi hapa Dar wametoka mkoa...sisi maveterani huwa tunawainjoi sanaHao ni wazawa wa Dar hapa hapa
Panya road wengi ni wazawa....wanaokabwa wengi ni wahamiajiHao ni wazawa wa Dar hapa hapa
Ulimbukeni.....mahindi unakula kama ugali na ndimu ,pilipili hutiwa kwenye mboga unazokula...huna point...kojoa ukalaleJamani wanaume wa Dar mmewasema wanavyonyanyaswa na Panya road mpaka juzi nao wamejitutumua kuua vile vitoto kule Mbagala sijui Taifa jipya. Anyway pamoja na kukaa saba Dar nimeshindwa kabisa kuiga tabia fulani kama kula maindi na ndimu na chumvi, kutofanya kazi hasa baba akiwa na nyumba,usafi ni muhimu lakini wengine wanajiremba kama wanawake kupenda sifa wakati huna wala hutafuti pesa, tabia hizi hazipo kwa wingi mikoani
nyie wa mikoani mlivyo mapunguani mnaua hadi maafisa wa kilimo, sa ndo nini, yani nyie ni zaidi ya panya road[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani wanaume wa Dar mmewasema wanavyonyanyaswa na Panya road mpaka juzi nao wamejitutumua kuua vile vitoto kule Mbagala sijui Taifa jipya. Anyway pamoja na kukaa saba Dar nimeshindwa kabisa kuiga tabia fulani kama kula maindi na ndimu na chumvi, kutofanya kazi hasa baba akiwa na nyumba,usafi ni muhimu lakini wengine wanajiremba kama wanawake kupenda sifa wakati huna wala hutafuti pesa, tabia hizi hazipo kwa wingi mikoani