katika vitu rahisi vya kufanya ni kuiba huu mtihan wa darasa la saba unaofanywa sasa. manake unaweza kusubiri hadi wagawiwe kisha wewe unachukua karatasi kwa msimamizi unashade tu unawapa wanafunzi kwani gumu hilo wafkir? majibu yenyewe ya a, b, c. hata mimi nafurah sana hili kutokea ili wakubwa waone ushauri wa wale wanaowaita wasiokuwa na kazi unavyofanya kazi na ulivyo wa maana.
kuna waliowah kupendekeza mtihan upime application analysis and synthesis tu ila wajuaj wakaona upime knoowledge what do you expect?
katika vitu rahisi vya kufanya ni kuiba huu mtihan wa darasa la saba unaofanywa sasa. manake unaweza kusubiri hadi wagawiwe kisha wewe unachukua karatasi kwa msimamizi unashade tu unawapa wanafunzi kwani gumu hilo wafkir? majibu yenyewe ya a, b, c. hata mimi nafurah sana hili kutokea ili wakubwa waone ushauri wa wale wanaowaita wasiokuwa na kazi unavyofanya kazi na ulivyo wa maana.
kuna waliowah kupendekeza mtihan upime application analysis and synthesis tu ila wajuaj wakaona upime knoowledge what do you expect?