Mtihani kidato cha sita ni maafa makubwa zaidi ya mafuriko ya kigogo

Mtihani kidato cha sita ni maafa makubwa zaidi ya mafuriko ya kigogo

maliki marupu

Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
8
Reaction score
0
Ni matumaini yangu kuwa watanzania wote tupo katika maombolezi ya maafa ya watanzania wenzetu waliopata mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunywsha.mungu ibariki tanzania mungu ibarikiafrc.ni siku chache zimesalia vijana wa kidato cha 6 wafanye mtihani wao wa kidato cha sita.hofu yangu kubwa ni kuwa na matumaini ya wanafunzi kufanya vibaya sana ktk masomo hii ni kutokana na baraza kutokuainisha topics mahususi zitakazotumika ktk mitihani.hii ni kutokana na mabadiliko ya syrabus ya masomo ya kidato cha sita.halii hii inawafanya wanafunzi kutokujua ni topics zipi wanapaswa wasome.haya ni maafa makubwa ya kitaaluma zaidi ya maafa ya kigogo by 0712099058
 
Mkuu hapo sijaelewa maana mtihani unatungwa kutokana na zile topic ambazo ziko kwenye syllabus, labda uniambie kuwa syllabus ilibadilishwa hapa mwishoni wakati wao walitumia ya zamani kufundishwa
 
Mkuu hapo sijaelewa maana mtihani unatungwa kutokana na zile topic ambazo ziko kwenye syllabus, labda uniambie kuwa syllabus ilibadilishwa hapa mwishoni wakati wao walitumia ya zamani kufundishwa
 
Tulia, andika ukiwa umetulia, ulivyoandika ni kama unaogopa kukutwa unaibia. Narudi kwenye hoja, ninajua kuna mabadiliko makubwa katika mitalaa ya A-level, hasa kwa wanaochukua masomo ya Arts, yote kwa yote, kwani wakuu wa shule hawajataarifiwa kuhusu mtalaa utakaotumiwa ktunga mitihani?
 
Nadhani kila mabadiliko ya mitaala yanapotokea lazima taasisi na wadau mbalimbali wa elimu hujuzwa mapema. Sidhani kama baraza la mitihani wanaweza kukurupuka na kutunga mitihani kwa topics ambazo hazijaelekezwa zifundishwe kwa wanafunzi husika kutoka kwenye mitaala. Usiwatie hofu watahiniwa watarajiwa.
 
Ni matumaini yangu kuwa watanzania wote tupo katika maombolezi ya maafa ya watanzania wenzetu waliopata mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunywsha.mungu ibariki tanzania mungu ibarikiafrc.ni siku chache zimesalia vijana wa kidato cha 6 wafanye mtihani wao wa kidato cha sita.hofu yangu kubwa ni kuwa na matumaini ya wanafunzi kufanya vibaya sana ktk masomo hii ni kutokana na baraza kutokuainisha topics mahususi zitakazotumika ktk mitihani.hii ni kutokana na mabadiliko ya syrabus ya masomo ya kidato cha sita.halii hii inawafanya wanafunzi kutokujua ni topics zipi wanapaswa wasome.haya ni maafa makubwa ya kitaaluma zaidi ya maafa ya kigogo by 0712099058

Kama wewe ni mwanafunzi unaetarajia kufanya huo mtihani pia, ninakuhakikishia kuwa ni lazima ufeli, usipofeli basi kutakuwa na tatizo kubwa ktk kutahini wanafunzi, kwa kuwa uwezo wako duni unajidhihirisha ktk hicho ulicho kiandika. Kama wewe ni mwalimu wa hao wanafunzi, basi ninawaonea huruma hao wanafunzi wako.
 
Je ww huko wapi,shulen kwenu hakuna format ya mtihan,mbona baraza imesambaza shule zote tokea mwez wa sita 2011,sema zimechelewa tu,ila topic zmeonyeshwa
 
Back
Top Bottom